Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Kuondoa Toto Afya Kadi.
Alafu Mama alimsifia Sana Ummy ila it's matter of time ataludishiwa
 
Namkumbuka Ummy kwa kukiri kuwa Covid imeingia nchini na kutoa takwimu mara kwa mara za watu waliothirika. Kwenye hili nampongeza.

Amandla...
Alipewa ruhusa na Magufuli, au umesahau Dr Mwele wa NÍMR alipotangaza kuna case ya virus vya ZIKA nini kilimpata?
 
Alipewa ruhusa na Magufuli, au umesahau Dr Mwele wa NÍMR alipotangaza kuna case ya virus vya ZIKA nini kilimpata?
Hata yeye alitemwa haraka sana na JPM na ndio ukawa mwisho wa matangazo ya takwimu. Tuliambiwa hakuna Covid nchini na tukaamini.

Amandla...
 
Back
Top Bottom