MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kama mkwere yupo pale basi naachana na hii nia yangu.Tafuta vita na mkwele,unamkumbuka Babu seya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mkwere yupo pale basi naachana na hii nia yangu.Tafuta vita na mkwele,unamkumbuka Babu seya?
Alikaa kitambo sana ila si unajua hawala hana talaka? kipindi kile ticha wa moto hatari anang'aa balaa mkwere na ticha walikutana ubalozi flani hapa tz...Mzee handsome akamuingiza kwenye siasa huku akiwa anakula tunda hizo ni za ndaaaani kabisa.Kama mkwere yupo pale basi naachana na hii nia yangu.
SureHatakumbukwa kwa lolote alikuwa anambwelambwela tu
Kwaserikali uchwara hazipendi kuwaweka watu sahihi kwenye eneo sahihiDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Aisee dingi mkwere anakojolea pazuri.Alikaa kitambo sana ila si unajua hawala hana talaka? kipindi kile ticha wa moto hatari anang'aa balaa mkwere na ticha walikutana ubalozi flani hapa tz...Mzee handsome akamuingiza kwenye siasa huku akiwa anakula tunda hizo ni za ndaaaani kabisa.
Kuna ripoti ya CAG inayofichua uchotwaji fedha kutoka NHIF, sasa badala ya Waziri kuahughulikia hati chafu, akaja na scheme ya kuwalazimisha Watanzania wote kulipia bima ya afya huku akichezea bango kitita ya huduma za NHIF.Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.
NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.
Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Unaleta hearsay yaani hadithi za kusadikika.Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.
NHIF ni suala mtambuka kwa 100%, japokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya lakini uratibu wake uko chini ya Rais na baraza la mawaziri kwa sababu uendeshaji wake unahitaji pesa nyingi kutoka wizara ya fedha na utumishi. Waziri wa Afya hawezi kutunga sheria wala sera za uendeshaji wake, hawezi kuteua wala kutengua mtendaji yoyote wa NHIF.
Suala la NHIF ni sawa sawa na suala la bodi ya mikopo (HESLB), Mifuko ya Pension, TANROAD, EWURA, REA. Waziri hawezi chochote linapokuja suala la kisera au sheria za uendeshaji wake. Ukiona kikotoo cha wastaafu kinawapunja wastaafu usikimbilie kumlaumu waziri husika maana hata yeye hana mamlaka ya kubadili chochote zaidi ya kupambana kusimamia utekelezaji wake.
Mama yupi jamaniLaana ya mama inamkabili big time.
Alimsusa alipougua hadi kufariki na akalazimishwa na mashosti ndani ya chama akashiriki msiba...
Roho yake na sura yake ni kama afande Hamduni kwa namna anavyosifiwa sasa
Najua ana mume na watoto watatu. Tena mumewe ni mkristoHana mume mkuu .Yule ni chronic single mother jiachie tu
Zaid ya asilimia 50 za viongozi wanaoshika Aidha kwa kuteuliwa au kushinda kimagumashi katika chaguzi mbalimbali nchini vichwani mwao ni watupu yani wana uwezo mdogo kiakili.Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
🤣🤣Aisee dingi mkwere anakojolea pazuri.
Yes! Yule Mama anafaa sanaDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Nimegusa anaekulisha 😂😂Unafiki umejaa kwenye sura yako.
Anna Semamba Makinda kapiga ishu gani?