Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.

NHIF ni suala mtambuka kwa 100%, japokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya lakini uratibu wake uko chini ya Rais na baraza la mawaziri kwa sababu uendeshaji wake unahitaji pesa nyingi kutoka wizara ya fedha na utumishi. Waziri wa Afya hawezi kutunga sheria wala sera za uendeshaji wake, hawezi kuteua wala kutengua mtendaji yoyote wa NHIF.
Suala la NHIF ni sawa sawa na suala la bodi ya mikopo (HESLB), Mifuko ya Pension, TANROAD, EWURA, REA. Waziri hawezi chochote linapokuja suala la kisera au sheria za uendeshaji wake. Ukiona kikotoo cha wastaafu kinawapunja wastaafu usikimbilie kumlaumu waziri husika maana hata yeye hana mamlaka ya kubadili chochote zaidi ya kupambana kusimamia utekelezaji wake.

Kama mwenye final say ni Rais kwanini anayafumbia macho haya madudu. Hata Rais hajali afya za wananchi aisee! Ccm imelaaniwa.
 
Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.

Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.

Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini

Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Tutamkumbuka hasa kwa Kutukenulia yale Meno yake yenye muonekano mbaya kwa Mwanamke na kuwa na Mdomo usiyovutia akiwa Anatabasamu.

Imeisha hiyo......!!
 
Sasa kwanini hamkuomba hata tu msaada wa Waganga Hatari wa Mkoa wa Singida ili kila wakati Kocha Mkuu akitaka kufanya mabadiliko ( substitution ) katika 21st March 2021 Paje Football Club nyie msahaulike Kwake?

Ila kwa mbali naanza pia sasa Kuwakubali na Waganga wa Iringa pamoja na Tabora kwani wana Uwezo mkubwa wa kumfanya Kocha Mkuu akikuchukia katika Timu yake basi baadae Yeye mwenyewe tu anaamua kukurejesha Kikosini ili ukaikoe Timu hasa kwa Ligi Kuu ijayo ya 2025.
 
Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.

Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.

Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini

Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Nakumbuka shingo yake nzuri na macho ya kimahaba
 
Sasa kwanini hamkuomba hata tu msaada wa Waganga Hatari wa Mkoa wa Singida ili kila wakati Kocha Mkuu akitaka kufanya mabadiliko ( substitution ) katika 21st March 2021 Paje Football Club nyie msahaulike Kwake?

Ila kwa mbali naanza pia sasa Kuwakubali na Waganga wa Iringa pamoja na Tabora kwani wana Uwezo mkubwa wa kumfanya Kocha Mkuu akikuchukia katika Timu yake basi baadae Yeye mwenyewe tu anaamua kukurejesha Kikosini ili ukaikoe Timu hasa kwa Ligi Kuu ijayo ya 2025.
Waoewe vijana sasa hawa wengine wapumzike
 
Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.

NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.

Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Utamdhibiti Anna Makinda? Yule ndio mtoeni pale
 
Mimi nilikuwa nashangaa kwa nini mpaka leo yupo.
Wamefanya looting ya maana MSD pamoja na Mkurugenzi mmoja aliyepita hapo MSD aliyekuwa mpnz wake.
Huyo Dada hajasomea Pharmacy,Dentistry, Nursing Wala Medicine hiyo kazi asingeiweza.
 
SIyo kweli; enzi zile NIHF ilikuwa inaheshimika na hospitali zote. Leo hii ukiwa na kadi ya NIHF utakwama karibu hospitali zote isipokuwa labda za serikali tu.
Hata huko serikalini ukifanya masikhara unaweza toka na Panadol dawa nyingine ukaangalie madukan huko
 
Ccm yote imeoza, hawana jipya wakae pembeni.

Chadema pelekeni kesi mahakamani, hii ni timing ya kuwaondowa kudai haki ili mjikite kwenye Futuhi za ccm.

Kila siku tunasema hapa mawaziri wasitokane na wabunge hawatusikii, matokeo yake umeishiwa wa kuteuwa unakuja kuturudishia kituko kama Kabudi, Uprofesa wake zero kabisa kazi kutowa mijicho tu.
Kweli kabisa

Ova
 
Back
Top Bottom