ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
huku alipo pia amefit zaid ya mnoDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku alipo pia amefit zaid ya mnoDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Kuiboresha NHIF na msd toka zilipokuwa Hadi hapa zilipo sasa , soma pamoja na taarifa ya mkaguzi mkuu WA SirikaliUteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Hapana waziri wetu abaki hukuhuku anaongoza vizuri kabisa tunampendaDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Haters wa JPM mna matatizo ya akiliBanda la kuvukiza nyungu muhimbili
Si alikuwepo huko akaboronga. Labda awe kasoma mchezo kwa kuwa nje ya hiyo wizara.Dorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Ndio. Alitumwa na magufuli kwenda kuileta Tanzania. Alishiriki ushirikina. Magufuli bana, mwanasayansi gani unaamini ushirikina hata kikombe cha loliondo alienda kunywaHivi kabudi si ndio Allenda kunywa nyungu Madagascar au sikumbuki 😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zile pingili zake shingoniUteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Kiutendaji ni kama Rais wetu tuUteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.
NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.
Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Angeidhibiti vipi bila kuwa dikiteta? Wakati wa Magufuli NHIF haikuwa na upuuzi huu wa sasa hivi kwa sababu ya usimamizi wa wakati ule.Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.
NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.
Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Wakati wa mwenbda zake ndiyo ilikuwa inapigwa juu kwa juu. Ni heri ujikalie kimya tu. Ingekuwa ya maana isingefumuliwa.Angeidhibiti vipi bila kuwa dikiteta? Wakati wa Magufuli NHIF haikuwa na upuuzi huu wa sasa hivi kwa sababu ya usimamizi wa wakati ule.
Kila kitu Tanzania hii kipo chini ya Rais, hilo unalosema wala siyo ajabu.Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.
NHIF ni suala mtambuka kwa 100%, japokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya lakini uratibu wake uko chini ya Rais na baraza la mawaziri kwa sababu uendeshaji wake unahitaji pesa nyingi kutoka wizara ya fedha na utumishi. Waziri wa Afya hawezi kutunga sheria wala sera za uendeshaji wake, hawezi kuteua wala kutengua mtendaji yoyote wa NHIF.
Suala la NHIF ni sawa sawa na suala la bodi ya mikopo (HESLB), Mifuko ya Pension, TANROAD, EWURA, REA. Waziri hawezi chochote linapokuja suala la kisera au sheria za uendeshaji wake. Ukiona kikotoo cha wastaafu kinawapunja wastaafu usikimbilie kumlaumu waziri husika maana hata yeye hana mamlaka ya kubadili chochote zaidi ya kupambana kusimamia utekelezaji wake.
Tumkumbuke kwa kuinajisi NHIF.
Macho yake yanacheza kama kaingiwa mchanga.
Samia akitoboa 2025 mniite huhuhu!
Huko ulimwengu gani mkuu, ni nchi gani imetawaliwa na uingereza barani africa na mawaziri wake hawatokani na bunge?Ccm yote imeoza, hawana jipya wakae pembeni.
Chadema pelekeni kesi mahakamani, hii ni timing ya kuwaondowa kudai haki ili mjikite kwenye Futuhi za ccm.
Kila siku tunasema hapa mawaziri wasitokane na wabunge hawatusikii, matokeo yake umeishiwa wa kuteuwa unakuja kuturudishia kituko kama Kabudi, Uprofesa wake zero kabisa kazi kutowa mijicho tu.
Hii ni dawa kule Madagascar anagawa Rais mwenyewe.😀😀Hivi kabudi si ndio Allenda kunywa nyungu Madagascar au sikumbuki 😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣