Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Tutamkumbuka kwa lipi Ummy Mwalimu?

Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.

Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.

Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Kuiboresha NHIF na msd toka zilipokuwa Hadi hapa zilipo sasa , soma pamoja na taarifa ya mkaguzi mkuu WA Sirikali
 
Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.

NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.

Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
 
Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.

Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.

Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini

Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Zile pingili zake shingoni
 
Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.

Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.

Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini

Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Kiutendaji ni kama Rais wetu tu
 
Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.

NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.

Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.

NHIF ni suala mtambuka kwa 100%, japokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya lakini uratibu wake uko chini ya Rais na baraza la mawaziri kwa sababu uendeshaji wake unahitaji pesa nyingi kutoka wizara ya fedha na utumishi. Waziri wa Afya hawezi kutunga sheria wala sera za uendeshaji wake, hawezi kuteua wala kutengua mtendaji yoyote wa NHIF.
Suala la NHIF ni sawa sawa na suala la bodi ya mikopo (HESLB), Mifuko ya Pension, TANROAD, EWURA, REA. Waziri hawezi chochote linapokuja suala la kisera au sheria za uendeshaji wake. Ukiona kikotoo cha wastaafu kinawapunja wastaafu usikimbilie kumlaumu waziri husika maana hata yeye hana mamlaka ya kubadili chochote zaidi ya kupambana kusimamia utekelezaji wake.
 
Ummy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.

NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.

Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Angeidhibiti vipi bila kuwa dikiteta? Wakati wa Magufuli NHIF haikuwa na upuuzi huu wa sasa hivi kwa sababu ya usimamizi wa wakati ule.
 
Kuna kitu hufahamu kuhusu NHIF, na watu wengi wamekaririshwa. Ngoja nikupe shule kidogo.

NHIF ni suala mtambuka kwa 100%, japokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya lakini uratibu wake uko chini ya Rais na baraza la mawaziri kwa sababu uendeshaji wake unahitaji pesa nyingi kutoka wizara ya fedha na utumishi. Waziri wa Afya hawezi kutunga sheria wala sera za uendeshaji wake, hawezi kuteua wala kutengua mtendaji yoyote wa NHIF.
Suala la NHIF ni sawa sawa na suala la bodi ya mikopo (HESLB), Mifuko ya Pension, TANROAD, EWURA, REA. Waziri hawezi chochote linapokuja suala la kisera au sheria za uendeshaji wake. Ukiona kikotoo cha wastaafu kinawapunja wastaafu usikimbilie kumlaumu waziri husika maana hata yeye hana mamlaka ya kubadili chochote zaidi ya kupambana kusimamia utekelezaji wake.
Kila kitu Tanzania hii kipo chini ya Rais, hilo unalosema wala siyo ajabu.
 
Amesimamia mageuzi mapya katika sekta ya Afya kwa awamu ya 4 na 5! Ujenzi wa vituo vya afya,hospitali za wilaya,ununuzi wa vifaa mbali mbali vya Matibabu,uboreshaji wa majengo,nk
Kwa kweli alijitahidi,mnyonge mnyongeni lakini yake mpe!
Nadhani Mama ameamua kumpumzisha kama Prof.Kabudi na Lukuvi,huenda atamrusha kama ataendelea mpaka 2030!
 
Ccm yote imeoza, hawana jipya wakae pembeni.

Chadema pelekeni kesi mahakamani, hii ni timing ya kuwaondowa kudai haki ili mjikite kwenye Futuhi za ccm.

Kila siku tunasema hapa mawaziri wasitokane na wabunge hawatusikii, matokeo yake umeishiwa wa kuteuwa unakuja kuturudishia kituko kama Kabudi, Uprofesa wake zero kabisa kazi kutowa mijicho tu.
Huko ulimwengu gani mkuu, ni nchi gani imetawaliwa na uingereza barani africa na mawaziri wake hawatokani na bunge?
 
Back
Top Bottom