Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni katiba tu, mambo ya kutawaliwa na Uingereza na katiba wapi na wapi?Huko ulimwengu gani mkuu, ni nchi gani imetawaliwa na uingereza barani africa na mawaziri wake hawatokani na bunge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni katiba tu, mambo ya kutawaliwa na Uingereza na katiba wapi na wapi?Huko ulimwengu gani mkuu, ni nchi gani imetawaliwa na uingereza barani africa na mawaziri wake hawatokani na bunge?
Kwa mara ya kwanza leo naona point, hongera sanaUmmy kashindwa kuidhibiti NHIF, NHIF watu wanaiba sana mpaka hpspitali hazilipwi. Aga Khan wamefunga, Hospitali zingine mfano Tiba, sasa hivi hawapokei bima za NHIF.
NHIF kuna pesa nyingi sana lakini kuna madudu ya kufa mtu, kama haijapewa kampuni binafsi kuiendesha, itawaondosha wengi sana.
Madudu NHIF na Madudu MADAWA ni ya kufa mtu.
Jibu swaliNi katiba tu, mambo ya kutawaliwa na Uingereza na katiba wapi na wapi?
Ilifumuliwa ili iliwe vzr.Wakati wa mwenbda zake ndiyo ilikuwa inapigwa juu kwa juu. Ni heri ujikalie kimya tu. Ingekuwa ya maana isingefumuliwa.
Kutenguliwa siyo kupumzishwa, ni kufedheheshwa tu.Amesimamia mageuzi mapya katika sekta ya Afya kwa awamu ya 4 na 5! Ujenzi wa vituo vya afya,hospitali za wilaya,ununuzi wa vifaa mbali mbali vya Matibabu,uboreshaji wa majengo,nk
Kwa kweli alijitahidi,mnyonge mnyongeni lakini yake mpe!
Nadhani Mama ameamua kumpumzisha kama Prof.Kabudi na Lukuvi,huenda atamrusha kama ataendelea mpaka 2030!
Ujibiwe mara ngapi?Jibu swali
Wakushika nchi Sasa ndo wananjaa zaidi Hadi washibe ni miaka ya xxm. unaoonekana ni mbadala hauaminikiNchi inahitaji kufanyiwa overhaul kwa kuiondowa ccm imeshafeli waje kuongoza watu wapya.
Chini ya ccm maigizo yataendelea tu, sasa jiulize waziri wa hovyo kama Mwigulu mbona haguswi?
Namkumbuka aliingia kudeki sakafu somewhere kulikuwa kuchafu🤣Uteuzi uliofanywa na Mhe. Rais SSH tatehe 14 Agosti 2024 umemtema nje bi Ummy Mwalimu kutoka Wizara ya Afya.
Kutokana na unyeti wa Wizara ya Afya, umuhimu wake ni mkubwa kwenye jamii. Pamoja na kusimamia sera ya Afya nchini lakini ndiyo wizara inayosimamia taaluma ya wahudumu wa Afya.
Je tuna lipi la kumkumbuka dada Ummy kama mchango wake kwenye kuimarisha ama kuidhoofiaha sekta ya afya nchini
Pia soma: Ummy Mwalimu atenguliwa Uwaziri wa Afya
Mkuu hayo ni mabadiliko ya kawaida!Kutenguliwa siyo kupumzishwa, ni kufedheheshwa tu.
Ni bora Rais avunje baraza la mawaziri na kuliunda upya hapo ukiachwa kuna heshima ya kusema umrpumzishwa, lakini kutenguliwa ni kuvunjiana heshima tu, kwa mimi ukiniteuwa tena sikubali uteuzi nabaki na ubunge wangu kuwakilisha wananchi, lakini kwakuwa maccm yanawakilisha matumbo yao wacha waendelee kudhalilishwa tu.
SIyo kweli; enzi zile NIHF ilikuwa inaheshimika na hospitali zote. Leo hii ukiwa na kadi ya NIHF utakwama karibu hospitali zote isipokuwa labda za serikali tu.Wakati wa mwenbda zake ndiyo ilikuwa inapigwa juu kwa juu. Ni heri ujikalie kimya tu. Ingekuwa ya maana isingefumuliwa.
Hana mume mkuu .Yule ni chronic single mother jiachie tuUmmy ni kisu ile laana. Yule mama angekuwa single ningetupa ndoano.
Watumishi wa Afya hawakumpenda kwa sababu alikuwa anawabania mianya ya upigaji. Lakini, ndiye mtu sahihi kwa hiyo wizara.Dorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Dorothy hafai kuwa waziri wa afyaDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Lile banda la Dr GwajimaBanda la kuvukiza nyungu muhimbili
Sema kweli! Apa kama unasema ukweliHana mume mkuu .Yule ni chronic single mother jiachie tu
Uyo ndo alileta mambo ya kujfukiza aliboa kiufupi usitukumbusheDorothy Gwajima angerudishwa Wizara ya Afya, yaani ingekuwa mtu sahihi sanaaa nionavyo..!!
Sasa mwanaume gani mwenye akili timamu uowe mwanamke ambaye hana muda wa kuhudumia ndoa?Hana mume mkuu .Yule ni chronic single mother jiachie tu