Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa na kulima miwa kwenye eneo la shule ya msingiKaongea uongo, wanaume wenye wanawake wenye wanawake wazuri zaidi wanakuwa na maisha ya wasi wasi sana
Ndiyo tabia zenu fisiem kuangalia wake wa wenzakoMabaharia yupo njiani tumesikia anamwanamke mzuri.Itafika siku tu atajua kwamba hajui ndio atakumbuka jojo ana miaka 39.
Uko Denmark haujapata mke?.Ndiyo tabia zenu fisiem kuangalia wake wa wenzako
He is in love. Just let him.enjoys his life. He is doing the right thing. U dont expect a guy who is in luv to do less than what Nikki2 is doing to his gyal
Hivi huko tz hamlali?? Saiv ni saa ngp hukoUko Denmark haujapata mke?.
Sawa mwanaufipa beba box kwa mabeberu umtunze mabaharia hawana chama kumbuka ata gwaji haeleweki ni mpinzani ama nini.Mke wangu yupo Tz Khantwe
Ni wivu tuu Pambaneni na hali zenu laana NyieSawa mwanaufipa beba box kwa mabeberu umtunze mabaharia hawana chama kumbuka ata gwaji haeleweki ni mpinzani ama nini.
Tupo zamu ya Lindo...Hivi huko tz hamlali?? Saiv ni saa ngp huko
Keshapelekwa kwa fundi huyo, ni wa kumuonea huruma.
Ok tz wote walinzi au?Tupo zamu ya Lindo...
Ni wivu tuu huo mkuu, kila mtu ana haki ya kupenda alipopenda kwa hisia zozote atazotumia, mbona hujiulizi nyimbo za duniani 80% ni za mapenzi kuliko za aina nyingine, hayo mapenzi tu mkuu sio ufala,
Uzuri uko machoni kwa mmiliki, kwetu wa kawaida kwake malaikaAfu mbona ana manzi wa kawaida sana huyo mbugila??