Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke


Jamaa Sijui Lina ulimbuken wa aina gani na umri wote huo bado anashoboka kishamba na wanawake mxieew
 
Waseing kweli nyie mtafanya kijana wa watu augue hahaaaa
 
Hivi hii ishu ilikuaje make naisoma juu juu, natamani warumi anisimulie kinagaubaga, ilikuaje hadi akasafiri nae nje ya nchi? Baba zuri hakuona kama kuna kamchezo hakako sawa?!!!

Nasikia mzee yuko njema bao kendaaaa yani
Hivi kwa nini we ni muhuni sana[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…