Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Kwani kigogo anaseamaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!! Yametimia!..Kabisa baba swalehe, lazima itafunwe tuu
Nani mpare?Wapare jamaa anawaaibisha
WeweNani mpare?
Dc hawez kuwa na salary ya kiwango hicho ,km hujui vitu kaa kimya ,dc salary yake ni 4m per month, marupurupu inategemeana na maelewano kati ya Ded na Dc wanaiva vipi maana fungu la halmashaur ded ndio kila kitu wakat dc yeye anadeal na mambo ya usalama sana.Wazushi tutaficha sura zetu wapi? Mheshimiwa Dr. Nikki kashayapatia maisha .....Mshahara 15m TZS, V8, Nyumba, wafanyakazi, Airtime, posho na matibabu first class
Tuliza mshono DadaDc hawez kuwa na salary ya kiwango hicho ,km hujui vitu kaa kimya ,dc salary yake ni 4m per month, marupurupu inategemeana na maelewano kati ya Ded na Dc wanaiva vipi maana fungu la halmashaur ded ndio kila kitu wakat dc yeye anadeal na mambo ya usalama sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliza mshono Dada
Apunguze kudanga sasaMheshimiwa na mkewe [emoji16][emoji1732][emoji116]
View attachment 1825493
DC hana marupurupu yeyote toka kwa DED...Dc hawez kuwa na salary ya kiwango hicho ,km hujui vitu kaa kimya ,dc salary yake ni 4m per month, marupurupu inategemeana na maelewano kati ya Ded na Dc wanaiva vipi maana fungu la halmashaur ded ndio kila kitu wakat dc yeye anadeal na mambo ya usalama sana.
bona uso wake unaonesha kama ana sura mbili zilizogawanyika longitudinally/ vertically?
Goma la kabudi hiloMheshimiwa na mkewe [emoji16][emoji1732][emoji116]
View attachment 1825493
Haka kamsela suti imekavaa amevaa suti kama za watembeza mabeseni na wauza sabuni kwenye mabasiMheshimiwa na mkewe [emoji16][emoji1732][emoji116]
View attachment 1825493
Punguza wivu mkuu😄Haka kamsela suti imekavaa amevaa suti kama za watembeza mabeseni na wauza sabuni kwenye mabasi