Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Wazushi tutaficha sura zetu wapi? Mheshimiwa Dr. Nikki kashayapatia maisha .....Mshahara 15m TZS, V8, Nyumba, wafanyakazi, Airtime, posho na matibabu first class
 
Wazushi tutaficha sura zetu wapi? Mheshimiwa Dr. Nikki kashayapatia maisha .....Mshahara 15m TZS, V8, Nyumba, wafanyakazi, Airtime, posho na matibabu first class
Dc hawez kuwa na salary ya kiwango hicho ,km hujui vitu kaa kimya ,dc salary yake ni 4m per month, marupurupu inategemeana na maelewano kati ya Ded na Dc wanaiva vipi maana fungu la halmashaur ded ndio kila kitu wakat dc yeye anadeal na mambo ya usalama sana.
 
Mheshimiwa na mkewe 😁🤸‍👇
IMG_20210621_161058.jpg
 
Ungekuwa uteuzi wa hayati watu wangekuja na mengi sana, na beby mama wake angehusishwa ktk hili
 
Dc hawez kuwa na salary ya kiwango hicho ,km hujui vitu kaa kimya ,dc salary yake ni 4m per month, marupurupu inategemeana na maelewano kati ya Ded na Dc wanaiva vipi maana fungu la halmashaur ded ndio kila kitu wakat dc yeye anadeal na mambo ya usalama sana.
DC hana marupurupu yeyote toka kwa DED...
 
Back
Top Bottom