Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Hata kama huna pesa usiwe na wenge la kupost post mkeo. UNAPOST POST NA CAPTION CAPTION ZA MKEO ZA NN? ILI NN?

Wakati mwingine watu wanamweshimu mkeo sababu wanakuheshimu na si vinginevyo. Ss kama huheshimiki na una sifa za kijinga ndo anakuwa tamu ya wazalendo.

Jamaa Sijui Lina ulimbuken wa aina gani na umri wote huo bado anashoboka kishamba na wanawake mxieew
 
Hahahaha
“Kabudi anamwambia binti fununua chup nione papuch bila tashwishwi....
Baada ya kuiona anakwambia papuchii hiii ni mujarabuuuuu papuchi hiii ni mujarabuuuuuuuu papuchi hiii ni mujarabuuuuuuuuuu

Nasema papuchi kama hii ni chache sana kusini mwa jangwa la sahara hata watafiti walishasema na bwana G.Wilson kwenye kitabu chake cha “Papuchi taste” alishasema hili bila twashwishi.

Hivyo natangaza kwamba papuchi hii ni mujarabuuuuuu papuchi hii ni mujarabuuuu ,papuchi hii ni mujarabuuuu.”
Waseing kweli nyie mtafanya kijana wa watu augue hahaaaa
 
Hivi hii ishu ilikuaje make naisoma juu juu, natamani warumi anisimulie kinagaubaga, ilikuaje hadi akasafiri nae nje ya nchi? Baba zuri hakuona kama kuna kamchezo hakako sawa?!!!

Nasikia mzee yuko njema bao kendaaaa yani
Hivi kwa nini we ni muhuni sana[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom