Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kwahiyo DC kaachwa ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Technically kamwagwa.Kwahiyo DC kaachwa ama?
Motivation Speakers Ni kawaida Yao, wanajifanyaga wako smart Sana kuliko watu wote kumbe empty set kabisa.Technically kamwagwa.
Ila mademu bhana tabu tupu.
Nikki anaweza kuwa mtu mwenye fursa kubwa sana huko mbele zaidi ya huo U-DC akiacha uselamavi na ushamba wa kiarusha.
Kama shida hela zitakuja tu.
Wakishaonjeshwa good life flani wanajanjaruka akili.
Anyway kama kweli Nikki kaachwa atulize akili sasa akome kwenye mambo ya msingi mapenzi hayanaga mjanja.
Muda ni mwalimu mzuri
Aisee ni kweli!!??Alipata bwana, lina pesa zaidi ya mara 10 kwa mafao ya ilani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya ile michongo yetu vipi ukanikimbia kabisa miaka imekata sio dhambi kuanzia tulipoishia au vipi.Em kwendraaaaaaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawashwaaaa???
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulichelewa wapi kujuaaa? Hukuonaa DC alipoaaa mnooo, demu yuko Dubai anakulaa life tyuuh.Aisee ni kweli!!??
Wee mchongo upi tenaaa? Hebu nikumbusheee.Oya ile michongo yetu vipi ukanikimbia kabisa miaka imekata sio dhambi kuanzia tulipoishia au vipi.
DC haweziiii kujinasuaa palee kwa mtoto. Demu akishachokaaa ku slay ataenda watulie sasa na life lao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Technically kamwagwa.
Ila mademu bhana tabu tupu.
Nikki anaweza kuwa mtu mwenye fursa kubwa sana huko mbele zaidi ya huo U-DC akiacha uselamavi na ushamba wa kiarusha.
Kama shida hela zitakuja tu.
Wakishaonjeshwa good life flani wanajanjaruka akili.
Anyway kama kweli Nikki kaachwa atulize akili sasa akome kwenye mambo ya msingi mapenzi hayanaga mjanja.
Muda ni mwalimu mzuri
So wameachana kabisa kabisa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulichelewa wapi kujuaaa? Hukuonaa DC alipoaaa mnooo, demu yuko Dubai anakulaa life tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lool[emoji119][emoji119][emoji119]Dibuka!!
Usipoelewa hapa baas. Khaaaah.
Kwa kweliAlishindwa nini kumuoa kabisa tangu mwanzo? Nani anataka uchumba sugu?
[emoji1787]Tanzania ina washamba watatu wa mapenzi;
1. Masanja Mkandamizaji
2. Mc Pilipili
3. Nikki wa Pili
pitia pitia inbox yako utakumbuka.