Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Njoo inbox, hutajutiaWee em nipishee kuleee nyokoooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo inbox, hutajutiaWee em nipishee kuleee nyokoooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa na mbwe mbwe zote zile!!?
Mbwembwe gan? Au unataka wewe hiyo nafasi ya mke?Khaa na mbwe mbwe zote zile!!?
kweli wahuni sio watu wazuri.
Ww ndio Nikki!!??Mbwembwe gan? Au unataka wewe hiyo nafasi ya mke?
watu wame mnyakua mtoto juu juu, DC anabaki kuduwaa tyuuh.Khaa na mbwe mbwe zote zile!!?
kweli wahuni sio watu wazuri.
Unataka mkongo upakiwe wewe?Ww ndio Nikki!!??
wajeba wanakung'uta mkeo sasa.
tena huenda wamempakia mkongo kabisa. Na wamenywea na konyagi. Wahuni watu wabaya sana. Pole
Utalia bro. Watu wanameng'enyua tu. Watu wabaya.Unataka mkongo upakiwe wewe?
Hapana, njoo unioe kipenzi😘Wewe umeolewa?
Mbona umepanick hivo? 🤣🤣🤣🤣 Hebu kunywa maji Kwanza Moyo uelee.Ana gubu na lombo bwaku. Unataka nn? Lombo bwaku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona umepanick hivo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hebu kunywa maji Kwanza Moyo uelee.
Nawezaje kuoa mwendawazimu?Hapana, njoo unioe kipenzi[emoji8]
na karibia washapigwa na kitu kizito,hata beka mwimbaji alileta ushamba huohuo mda mfupi akaanza kuimba mashairi mi nachukulia tuu poa poaTanzania ina washamba watatu wa mapenzi;
1. Masanja Mkandamizaji
2. Mc Pilipili
3. Nikki wa Pili
hivi dc si ana account humu,mwambieni ulimbikeni wa mapenzi awaachie wengine kuna watu wana pisi kali na wametulia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulichelewa wapi kujuaaa? Hukuonaa DC alipoaaa mnooo, demu yuko Dubai anakulaa life tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaa🤣🤣🤣 Akili tutatumia zako bebi.Nawezaje kuoa mwendawazimu?