Ingekuwa wenye wanawake wazuri ndio wenye furaha basi ndoa hizi zingedumu zaidi. Mm nadhani upendo hauna sura wa sheap ya mtu that is secret.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa wenye wanawake wazuri ndio wenye furaha basi ndoa hizi zingedumu zaidi. Mm nadhani upendo hauna sura wa sheap ya mtu that is secret.
Hv ni kweli waliachana ?Nimeingia twitter kila kona wanamdiss jamaa mara wengine wanasema Wana mkasa mzima ...Ila sio fresh watu wanamdiss kinoma jamaa wa watu
Mkasa gan kwan ajabu DC kaachwa kisa mnyama m1 hv ana mapene balaaa, kamkwapua bidada.Nimeingia twitter kila kona wanamdiss jamaa mara wengine wanasema Wana mkasa mzima ...Ila sio fresh watu wanamdiss kinoma jamaa wa watu
Hadi kijana mwenye degree, kisa yuko UVCCMKumbe kuna wana wengi tu walikuwa wanampiga miti kimasihara mchumba wa Mheshimiwa.
Hawa badae ndo wanaanza kampeni ya kataa ndoa kumbe ni ujinga wao wenyeweDoh kumbe itakua kweli,nimeona instagram mtu kaandika mh kafuta picha zote za mkewe nikaenda kuchungulia kwenye instagram page ya mheshimiwa kweli nimekuta kafuta picha zote za mkewe!
Itakua kishawaka huko
🤔🤔Pesa ndo inarun dunia kwa kweliMkasa gan kwan ajabu DC kaachwa kisa mnyama m1 hv ana mapene balaaa, kamkwapua bidada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawa badae ndo wanaanza kampeni ya kataa ndoa kumbe ni ujinga wao wenyewe
Kwanza aliliwa n prof wa jalalani...Mikasa mingine tunaisubiri tutaambiwa TU mdogo mdogo!!Mkasa gan kwan ajabu DC kaachwa kisa mnyama m1 hv ana mapene balaaa, kamkwapua bidada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza aliliwa n prof wa jalalani...Mikasa mingine tunaisubiri tutaambiwa TU mdogo mdogo!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maneno ya watu tu hayoYule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,
Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Kwa huyu wa UVCCM mwenyewe niligomaa, lakini watu walivyo nipopoa kule chimboo khaaah.Maneno ya watu tu hayo
He,he,heMwambie akapime DNA ya sujui zuri,asije akasema sikumwambia,najua yuko humu ndani anapitia uzi na hata kwa ID unajulikana
Na manka anavyopenda pesa hata hajawaza mara mbiliMkasa gan kwan ajabu DC kaachwa kisa mnyama m1 hv ana mapene balaaa, kamkwapua bidada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni binti mdogo wa 1995 ni mwili tuuYule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,
Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Ushamba tu umemponza,angetulia akajilia mali yake safi tuHe,he,he
Sa itakuaje
DC sijui imekuaje jamani mpaka kafika hapo na mrembo wake
Duhhh....kumbe bidada kicheche square,mbonaa nick alimpenda Sana mdada,Sasa kakijana kakumaliza 2020 si kadogo kake kabisaYule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,
Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Katika hata maisha chochote popote Sasa yote kinatokea,kuaminiana hakuna jiamini wewe na nafsi tuKwa huyu wa UVCCM mwenyewe niligomaa, lakini watu walivyo nipopoa kule chimboo khaaah.
Hata sahv siamini hata.