Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,

Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Basi alikuwa na umalaya wa kiwango cha juu sana, aliliwa hadi na kijana wa UVCCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka


Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
 
Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka


Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Watu mnajua kufuatilia mambo.
 
Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka


Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Hahahaha vijana wa Arusha hao wanapenda kulelewa na pisi Kali😅
 
Nyie mafala mnafurahi matatizo ya mwenzenu?

Hizi roho mbaya, husda, kinyongo, chuki na uchawi haviwez kuwapeleka popote ndugu zangu
Kuachwa na demu mmoja si yatizo ila kuachwa na mademu kibao wakati una uwezo kiuchumi ndo kunaibua mijadala. Pia kichwa cha habari kimelenga kutoa ushauri na siyo kufurahia matatizo ya mtu.
 
Kuachwa na demu mmoja si yatizo ila kuachwa na mademu kibao wakati una uwezo kiuchumi ndo kunaibua mijadala. Pia kichwa cha habari kimelenga kutoa ushauri na siyo kufurahia matatizo ya mtu.
Leave him alone

Kama anaachwa, eeh we inakuhusu Nini?

Kama ku-judge mum-judge as a leader kama atimizi majukum yake kama DC

His personal life halituhusu

Unless otherwise it's none of your business
 
Back
Top Bottom