reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Aseeehhh..kuumbeNi binti mdogo wa 1995 ni mwili tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseeehhh..kuumbeNi binti mdogo wa 1995 ni mwili tuu
Awaze wapiii? Yule alitumwa kutafuta pesa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na manka anavyopenda pesa hata hajawaza mara mbili
Duuuuh ndo aliwe na UVCCM kweli?Ni binti mdogo wa 1995 ni mwili tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena UVCCM jamaan khaaaah, si dharau hii kwa DCDuhhh....kumbe bidada kicheche square,mbonaa nick alimpenda Sana mdada,Sasa kakijana kakumaliza 2020 si kadogo kake kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila ni kweliiii.Katika hata maisha chochote popote Sasa yote kinatokea,kuaminiana hakuna jiamini wewe na nafsi tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo wameachana kisa huyo UVCCM au huyo mwenye mapene mengi au mambo ni mixer?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena UVCCM jamaan khaaaah, si dharau hii kwa DC
Kwamba upo hapa kufurahia penzi la jamaa kuvunjika?Vp ashaachwa?[emoji28][emoji28]tatizo mwamba ana ushamba flan wa kichugga
Daaah bongo kuna roho za kichawi sana, ndiomaana huwezi kitoboa kizembezembe ukiwa bongo.Wabongo wanavyopenda mambo ya wenzao yaende mrama...
Waulize waha maana ya hilo neno "msundi".Tena usukumani
Wameachana kisa mwenye mapenee, wee vaccay Dubenga mchezoo, ila ndo waja wanasema bidada ni chupi mkononi had kijana wa UVCCM kamvua.Kwahiyo wameachana kisa huyo UVCCM au huyo mwenye mapene mengi au mambo ni mixer?
siku akichwa atajiua
Kwetu lina maana nzuriWaulize waha maana ya hilo neno "msundi".
MaskiniWameachana kisa mwenye mapenee, wee vaccay Dubenga mchezoo, ila ndo waja wanasema bidada ni chupi mkononi had kijana wa UVCCM kamvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]