Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Huyu demu mkali (1st class) anastahili kilicho Bora zaidiMaskini
Amekosa akili yule dada,hajui hao watapita wamwache ila jamaa alimpenda kiukweli
Yetu macho na masikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu demu mkali (1st class) anastahili kilicho Bora zaidiMaskini
Amekosa akili yule dada,hajui hao watapita wamwache ila jamaa alimpenda kiukweli
Yetu macho na masikio
Basi alikuwa na umalaya wa kiwango cha juu sana, aliliwa hadi na kijana wa UVCCM?Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,
Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Unavyopenda hizi story sasa, ni zaidi ya vile unapenda chakula.Kwa huyu wa UVCCM mwenyewe niligomaa, lakini watu walivyo nipopoa kule chimboo khaaah.
Hata sahv siamini hata.
Mh!kwahiyo kwa analysis yako umeona kilicho bora zaidi ni mapene?Huyu demu mkali (1st class) anastahili kilicho Bora zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie nashangaa hapo.Basi alikuwa na umalaya wa kiwango cha juu sana, aliliwa hadi na kijana wa UVCCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hata baada ya kugundua uchafu wa huyo mwanamke, angetulia tu akajilia mali yake?Ushamba tu umemponza,angetulia akajilia mali yake safi tu
Napenda umbea, udaku, ufukunyuku kuliko kulaa,Unavyopenda hizi story sasa, ni zaidi ya vile unapenda chakula.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Concolution, eeeh?[emoji23]Concolution hawa viumbe ni un defined .
Fo sure atakuja kumkumbukaa Nick huyu shostiii. LolMaskini
Amekosa akili yule dada,hajui hao watapita wamwache ila jamaa alimpenda kiukweli
Yetu macho na masikio
Hapana nasema wakati wa kula,ungegundua si anachapa lapa sasa hivi anaandamwa kwa sababu ya mdomo wakeKwamba hata baada ya kugundua uchafu wa huyo mwanamke, angetulia tu akajilia mali yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnajua kufuatilia mambo.Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka
Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Hahahaha vijana wa Arusha hao wanapenda kulelewa na pisi Kali😅Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka
Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Naafiki niko huku , vijana wanapenda Kitonga balaa.Hahahaha vijana wa Arusha hao wanapenda kulelewa na pisi Kali[emoji28]
Kuachwa na demu mmoja si yatizo ila kuachwa na mademu kibao wakati una uwezo kiuchumi ndo kunaibua mijadala. Pia kichwa cha habari kimelenga kutoa ushauri na siyo kufurahia matatizo ya mtu.Nyie mafala mnafurahi matatizo ya mwenzenu?
Hizi roho mbaya, husda, kinyongo, chuki na uchawi haviwez kuwapeleka popote ndugu zangu
Leave him aloneKuachwa na demu mmoja si yatizo ila kuachwa na mademu kibao wakati una uwezo kiuchumi ndo kunaibua mijadala. Pia kichwa cha habari kimelenga kutoa ushauri na siyo kufurahia matatizo ya mtu.
Wabongo wanavyopenda mambo ya wenzao yaende mrama...