Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Kwanza aliliwa n prof wa jalalani...Mikasa mingine tunaisubiri tutaambiwa TU mdogo mdogo!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,

Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
 
Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,

Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Maneno ya watu tu hayo
 
Mkasa gan kwan ajabu DC kaachwa kisa mnyama m1 hv ana mapene balaaa, kamkwapua bidada.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na manka anavyopenda pesa hata hajawaza mara mbili
 
Yule mtema mate, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie kuna ubuyu nimepata leo chimbo, eti kaliwa had na kijana wa UVCCM afu kamaliza chuo UDSM 2020,

Alikiua kiongozi ktk serikali ya DARUSSO had nlichoka.
Duhhh....kumbe bidada kicheche square,mbonaa nick alimpenda Sana mdada,Sasa kakijana kakumaliza 2020 si kadogo kake kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom