Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Umbeaa sunnah, hebu tuliaa hukooo, kwan hujaachwa? Si umeachwa kweli, sasa povu LA nn??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuuliza hayo ya Nikki na mkewe wewe yanakuhusu nini? Ukishayasema unapata faida gani? Huo muda kwa nn usiutumie kutafuta pesa?
 
Umeoza utumbo sababu ya kupigwa pipe, akili nazo zishaoza. wewe ni hasara kwa familia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajikazaa huku unagumia kwa maumivu??? Relaaaaaaaaxxxxxx Joan kayeyuka yeyuuuu, wajanja wamekukwapuaaa, kwapuuuu wamesepa nae.

Wapi DC nick, huyu hapa Countrywide
 
Nimekuuliza hayo ya Nikki na mkewe wewe yanakuhusu nini? Ukishayasema unapata faida gani? Huo muda kwa nn usiutumie kutafuta pesa?
Kwan sio mkewe ni mzazi mwenzake, hebu weka sawa, mie faida yangu kuona wameachanaaaa.

Pesa ninazooo afu sio shida zangu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kunywa maji mengi afu pumzikaaa, kesho uwahi ofisini.
 
Tena wale wenye mitakooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeoza utumbo sababu ya kupigwa pipe, akili nazo zishaoza. wewe ni hasara kwa familia
Tulia wewe msomi wa sociology ushagongewa nawewe tafuta mnyonge wa saizi yako kamgongee, alafu ukipata dem mwingine tunaomba utupostie instagram tumuone ili tumle tena na huyo. Yani wewe tutakulia madem zako mwanzo mwisho labda usioe au uwe unakula mashoga
 
Watu hawana shida naye, tatizo lake ni yeye kujiona Bora wengine mapoyoyo kumbe ni ushamba tu na watoto wa mjini wamemuonyesha namna Gani unatakiwa uishi na watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajikazaa huku unagumia kwa maumivu??? Relaaaaaaaaxxxxxx Joan kayeyuka yeyuuuu, wajanja wamekukwapuaaa, kwapuuuu wamesepa nae.

Wapi DC nick, huyu hapa Countrywide
I'll wee bint eti kayeyuka ,,yeyuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpumbavu ni wee uliyeachwaa, mie maskini nna furaha na amani na sijaachwa, wee tajiri mbna Joan kakubwagaaa??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nick unalo hili Kaka weee.
Mpe vidonge vyake akirudi Tena shughulika nae

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Naona umeua kumtolea UVIVU mh DC

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watu hawana shida naye, tatizo lake ni yeye kujiona Bora wengine mapoyoyo kumbe ni ushamba tu na watoto wa mjini wamemuonyesha namna Gani unatakiwa uishi na watu.
Kwa Kweli sipendi kumfurahia matatizo yake ila jamaa alikuwa kero Sana Kuna wakta anajiona mwerevu San kulikon vijan walio wengi ,mjuaji na anajisikia Kama Ni mtu special San amshukuru mama kumpa udc vinginevyo Ni siku nyingi tu angemwaga na huyo bint

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajikazaa huku unagumia kwa maumivu??? Relaaaaaaaaxxxxxx Joan kayeyuka yeyuuuu, wajanja wamekukwapuaaa, kwapuuuu wamesepa nae.

Wapi DC nick, huyu hapa Countrywide
Aisee cocastic nimeamini pasina kuacha shaka kbsa kuwa huyu unayebishana nae humu bwana Countrywide ndie Niki mwenyewe haswaa

Nimejuaje nilienda kwenye nyuz zake nikakuta kajifungulia Uzi mwenyewe kajipigia mapande matupu na Mara nyingi amekuwa akiwananga Sana chadema

Aloo nimekufulia kofia mpe za uso

Alisema hatak Kaz leo hi yupo kazini Tena ya kulamba viatu kbsaa Mbna hakukataa

Kwa kifupi Sanaa bwana huyu Ni mpuuzi tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni yeye huyuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani haina kubishaaaa. Sema inauma sana akisoma hizi comment humu kuna kitu atajifunza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu DC kashaanza kuwehukwa, modes wawe makini nae, km vipi hii acc yake waweke pending had akiwa sawa.

Countrywide wee Nick vipi uko ofisini au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…