Tutarajie ongezeko la wagonjwa wa kisukari na pressure

Ila kuna watanzania ni wajinga sana,,,wanapenda hela za mteremko,,,kuna wamama wapo halmashauri X nahisi kuanzia juzi hawatakuwa na hamu ya mapenzi jinsi FIC ilivyowafanya,,kuna mmoja alikuwa anaiona milioni 30 ila kuitoa hawezi,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…