Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi UTT huwa inazalisha nini?Yaani unaweka hela yako kwz kampuni albayo haizalishi chochote? Ila ndezi huwa hawaishi, maana ndezi huzaa ndezi.
Inapata 12% ya faida kwa ulichowekeza kwa mwaka kama ni mfuko wa ukwasihivi UTT huwa inazalisha nini?
ahaaaaInapata 12% ya faida kwa ulichowekeza kwa mwaka kama ni mfuko wa ukwasi
Tuna changamoto kubwa ya Elimu, Elimu, Elimu...watu hata kuelewa tu maelekezo hawaelewi!!!!Vilioni ni vingi na vipigo ni vikali...tulia. tuombe tu vifo visitokee. Ila stroke na kisukari haviepukiki
Mkuu Kuna pie network italiza wengiDECI, JATU, QNET,Mr Kuku, Kalyanda, FIC,LBL, GLOBAL
Na Bado.. ......
Wajiunga Kuanzia Darasa La Pili B,,Form IV, Diploma, Degree, Masters, Dkt, Professor
Wajinga Wapo Wengi Sana
Wanashindwa vipi kuichukua pesa ya kwenye mkeka!?Wanasema walikua wanaona pesa kwenye mkeka
Mhh nimetoka kapa