Tutarajie ongezeko la wagonjwa wa kisukari na pressure

Tutarajie ongezeko la wagonjwa wa kisukari na pressure

DECI, JATU, QNET,Mr Kuku, Kalyanda, FIC,LBL, GLOBAL

Na Bado.. ......
Wajiunga Kuanzia Darasa La Pili B,,Form IV, Diploma, Degree, Masters, Dkt, Professor
Wajinga Wapo Wengi Sana
Hivi yule sijui mkurugenzi wa Jatu kesi yake imefikia wapi? Nimeona mdau kaonhezea na nyigine ya kuchimba mgoni online. Dah, yaani jina lenyewe linatia shaka.
 
Wajinga ndio wanaoliwa..Kuna hili kundi la bodaboda na bajaj ndio sasa hivi wanapigwa sana..wanatamaa sana
 
Mungu asante kwa hii biashara yangu ya Mbuzi inanifanya nielekeee kwenye u billionaire kihalali.
Pia naomba Mungu uidumishe hii biashara ili nifikie malengo yangu
 
HAHAHAAAAAAAAA POLENI WAANGA. lilikuwa ni swala la muda tu. Hawa jamaa nilivyoona wanaanza kuja dodoma kujitangaza nikajua kabisa kinachoenda kutokea kitakuwa Pata potea

Kwani wao waliotapeliwa wanasemaje???
 
Uwa najiuliza sana,hivi huu ni utapeli uliohalalishwa na mamlaka?,,unaanzaje kazi zake?,je huwa hakuna usajiri?,, mtaani ukifungua tu kijiduka tayari watoza ushuru hao mlangoni!!,mara watu wa mazingira,mara wa mizani nk,, wengine hawaonekani??,nani wanakula nao?
 
hakuna hela ya rahisi wala mafanikio kwa njia ya mkato..
Kabisa....alafu wao wanawaambia pesa yenu tunawekeza wapi sjui 😄 biashara yenyewe haionekani
Wanayofanya 😄
Tatizo watu wengi kinachowaponza ni tamaa mfano mtu anaambiwa ukitoa 1,000,000 utarudishwa 5,000,000 wajinga lazima wajaeee

Ova
 
Uwa najiuliza sana,hivi huu ni utapeli uliohalalishwa na mamlaka?,,unaanzaje kazi zake?,je huwa hakuna usajiri?,, mtaani ukifungua tu kijiduka tayari watoza ushuru hao mlangoni!!,mara watu wa mazingira,mara wa mizani nk,, wengine hawaonekani??,nani wanakula nao?
Mamlaka wanajua Sana sema wanasubiria pesa zijae,watu walizane waje wawapige tanchi

Ova
 
Kwa kile walichofanywa na LBL na FIC. Mjiandae kuuguza wagonjwa wa kisukari na pressure.

Ukiitwa kwenye fursa, jua wewe ndio fursa yenyewe.
Poleni.
Shida iko hapa 👇
 

Attachments

  • global-iq-map-v0-w1373058zlwd1.jpeg
    global-iq-map-v0-w1373058zlwd1.jpeg
    106.2 KB · Views: 1
Kwa kile walichofanywa na LBL na FIC. Mjiandae kuuguza wagonjwa wa kisukari na pressure.

Ukiitwa kwenye fursa, jua wewe ndio fursa yenyewe.
Poleni.

Mimi sijui hao LBL nk Japo nafaham kuwa;
Kanuni ya kubeti, ni kutumia pesa ambayo ukiipoteza haikuumizi (invest what you can afford to loose). Sasa kama utauza mahindi yako yote au utakopa upeleke hela kwenye kubeti ...inamaana ulijiingiza kwenye mchezo bila kujua kanuni za mchezo....na hii kanuni ni kwa betting ZOTE DUNIANI hivyo zingatia!
WAJULISHE NA WENZAKO ili wasirudie makosa!
 
Mimi sijui hao LBL nk Japo nafaham kuwa;
Kanuni ya kubeti, ni kutumia pesa ambayo ukiipoteza haikuumizi (invest what you can afford to loose). Sasa kama utauza mahindi yako yote au utakopa upeleke hela kwenye kubeti ...inamaana ulijiingiza kwenye mchezo bila kujua kanuni za mchezo....na hii kanuni ni kwa betting ZOTE DUNIANI hivyo zingatia!
WAJULISHE NA WENZAKO ili wasirudie makosa!
Kwani wewe hujazisikia LBL na FIC?
 
Kwenye utafutaji wa pesa ukitanguliza tamaa kwa chochote kile umeisha na kupata pesa utakusikia kwenye TV, yaani pesa ina sehemu zake hua inatulia , tamaa ikizidi lazima uanguke
 
Back
Top Bottom