Na wamepigwa kizembe sana tena bila hurumaWasomi wa bongo ni mipumbavu mipuuzi mifara kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wamepigwa kizembe sana tena bila hurumaWasomi wa bongo ni mipumbavu mipuuzi mifara kabisa
Kwa maana hiyo ni sawa na ilivyo kwa yule wa Gombe sio?Kwa kile walichofanywa na LBL na FIC. Mjiandae kuuguza wagonjwa wa kisukari na pressure.
Ukiitwa kwenye fursa, jua wewe ndio fursa yenyewe.
Poleni.
Hiko ni Mbeya ndio HQ ilipokuwLBL na FIC ndo kitu gani huko Daslama?
🤣 🤣 🤣 🤣 hii kali sanaWatanzania watapigwa sana kuna nyingine inaitwa TIT MINING wanasema wanachimba madini online ngoja tuone
Eti wanaochimba madini online !!! Still your head bell doesn't ring.Watanzania watapigwa sana kuna nyingine inaitwa TIT MINING wanasema wanachimba madini online ngoja tuone
Hujui. Ngojea kuona wagonjwa wa kisukari na pressure. Kifupi wamecheza mchezo wa upatu. Kama ilivyokuwa DECILBL na FIC ndo kitu gani huko Daslama?
Vilioni ni vingi na vipigo ni vikali...tulia. tuombe tu vifo visitokee. Ila stroke na kisukari haviepukikiFIC imepiga kwenye mshono
Kuna jamaa nilimuambia hakuna betting ya namna hii tangia dunia iumbwe
Safari ipi wakati safari imefika mwisho!! Kwani wewe ulitaka kushukia wapi?Mabilionea wetu hao tupo nao Hadi mwisho wa safari
Anza kuangalia afya yake. Kama ni wale wa mamilioni, kuwa nae makini. Aside akajinyongaKuna mmoja aliniita Mimi mshamba sijui fursa nikasema nenda kwenye fursa hizo upate kua bilionea haraka
Fursa fursa fursa. Wakageuka kuwa fursa.More info please vinginevyo ujumbe hujafikisha mwanangu
HahaaahahaajaajhIla kuna watanzania ni wajinga sana,,,wanapenda hela za mteremko,,,kuna wamama wapo halmashauri X nahisi kuanzia juzi hawatakuwa na hamu ya mapenzi jinsi FIC ilivyowafanya,,kuna mmoja alikuwa anaiona milioni 30 ila kuitoa hawezi,,,
Bora betting tu. ManU akikochomesha unaona kabisa. Pyramid schemes. Upatu, ni vilio vya mbwa mwizi.Itakuwa kubeti tu hiyo
HahahahahahWatanzania watapigwa sana kuna nyingine inaitwa TIT MINING wanasema wanachimba madini online ngoja tuone