Tutegemee athari zipi kiusalama nchini Tanzania baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari?

Tutegemee athari zipi kiusalama nchini Tanzania baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari?

Kwa kweli na ki-UKWELI hali haitakuwa nzuri tena kama tulivyo zoea. Mabadiliko ni lazima yatakuwepo. Yanaweza kuwa mabaya au mazuri kutegemea mtizamo wa mtu. e.g. Subjective.
1. Kwa waliokuwa wanajiendea kuingia na kutoka kiholela Kenya bila ya pass sasa itakuwa sivyo tena. Utaratibu utabadilika.
2. Jeshi kusimamia Utendaji i.e. Hali ya Hatari manake hakuna MASIHARA tena. Ukienda kinyume unaweza kubutuliwa na hakuna pa kwenda kulalamika. Muda wa kuzurura/kutembea kwa Starehe utadhibitiwa sana au hakuna kabisa.
Huko kwa jirani(Kenya) sisi waTz tunayo maslahi binafsi mengi na muhimu e.g. Wapo Wanafunzi kutoka Tz wanaosoma Kenya, Wapo Wafanyabiashara wa kiTz hupeleka na hurudi na mizigo ya Bidhaa-(bidhaa, magari na madereva); huko Kenya waTz tuliweza kupata huduma za kiafya n.k, n.k
Kwa mantiki hiyo Watanzania (wabongo) waliokuwa wananufaika na kuwepo kwa jirani yetu; kwa vyovyote vile sasa wataathirika kutokana na Kutangazwa kwa HALI YA HATARI nchini Kenya.
Endapo hali itazidi kuwa mbaya tunategemea pia kupokea wakimbizi kutoka Kenya. Wakimbizi hao watahitaji huduma muhimu za kibinadamu - chakula, huduma za Afya na Malazi. Lakini pia wakimbizi watakuja na Tabia zao nzuri au mbaya yakiwemo na maradhi ya kuambukiza.
Kwa kuwa hali itakuwa ni Tete(Instability/unstable state), Maadui zetu wa ndani na nje ambao pia hatuwajui wanaweza kuitumia hali hiyo kufanya yao.
Wadau wataendeleza kwa kuchangia hoja.
Ninakuelewa kamanda!!
 
Kwanza athari ya kwanza ambayo tunatakiwa tuwe macho zaidi ni wahalifu wakubwa hasa magaidi mda huu ndio wanaweza penyeza watu wao wakati watu wapo busy kuangalia maandamano, jambo jingine ni wageni wa kuingia kwetu kutokea Kenya na wakaleta tabia zisizo la mwisho kabisaa viongozi wetu wajifunze na kuchukua hatua madhubuti ya kuongea vizuri na wananchi na kutekeleza majukumu yao kwa weledi na sio vitisho
Jambo la mwanzo watanzania tuungane kuupinga sheria waliyoipitisha hivi karibuni ya wake wa Marais wastaafu kulipwa mafao wakati tunajuwa waume zao wanalipwa asilimia 80 ya Marais waliomadarakani na wao ndio wenye majukumu ya kuwatunza wake zao.
 
Hii hali ya Hatari aliyoitangaza Rutto sidhani kama itazidi Wiki moja, lakini kama ndugu zetu Wakenya wakihofia Maisha yao kuwa hatarini kutokana na State Apparatus kuwawinda kama Digi Digi basi TUNAWAKARIBISHA TANZANIA waje kuomba HIFADHI.

KARIBUNI SANA NDUGU ZETU WAKENYA hata kama Kaugali nusu tutakula wote.

Sisi pia TULIWINDWA kama DIGI DIGI na DIKTETA MAGUFULI Ndugu zetu Wakenya wakatukaribisha tukashea nao Sukuma Wiki.
Kweli!
 
Salaam,Shalom!!

Ile Hali ya wanasiasa kujifanya viziwi Kwa kutosikiza MAONI ya wananchi ambao ndio hasa boss wao, imesababisha Bunge kutekwa kuchomwa na waandamanaji baada ya Polisi kuzidiwa nguvu na namba.

Swali: Tutegemee athari gani kiuchumi,Kijamii, na hasa KIUSALAMA mipakani Kwa siku zijazo baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari hii leo?

Karibuni 🙏
1 Samweli 2
25 Mtu mmoja akimkosa mwenzake, Mungu atamhukumu; lakini mtu akimkosa Bwana, ni nani atakayemtetea? Lakini hawakuisikia sauti ya baba yao, kwa sababu Bwana amekusudia kuwaua.
 
Salaam,Shalom!!

Ile Hali ya wanasiasa kujifanya viziwi Kwa kutosikiza MAONI ya wananchi ambao ndio hasa boss wao, imesababisha Bunge kutekwa kuchomwa na waandamanaji baada ya Polisi kuzidiwa nguvu na namba.

Swali: Tutegemee athari gani kiuchumi,Kijamii, na hasa KIUSALAMA mipakani Kwa siku zijazo baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari hii leo?

Karibuni 🙏
Athari ya kwanza ni kuongezeka kwa bei ya Sukumawiki
 
Salaam,Shalom!!

Ile Hali ya wanasiasa kujifanya viziwi Kwa kutosikiza MAONI ya wananchi ambao ndio hasa boss wao, imesababisha Bunge kutekwa kuchomwa na waandamanaji baada ya Polisi kuzidiwa nguvu na namba.

Swali: Tutegemee athari gani kiuchumi,Kijamii, na hasa KIUSALAMA mipakani Kwa siku zijazo baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari hii leo?

Karibuni 🙏
Mbona wiki nzima hii kuna wimbi la Wakenya wasaka amani wameingia Tanzania.

Tujitayarishe kupokea wageni, lakini tujichunge nao sana, Wakenya ni watu wa fitna na majungu sana.
 
Kwanza athari ya kwanza ambayo tunatakiwa tuwe macho zaidi ni wahalifu wakubwa hasa magaidi mda huu ndio wanaweza penyeza watu wao wakati watu wapo busy kuangalia maandamano, jambo jingine ni wageni wa kuingia kwetu kutokea Kenya na wakaleta tabia zisizo la mwisho kabisaa viongozi wetu wajifunze na kuchukua hatua madhubuti ya kuongea vizuri na wananchi na kutekeleza majukumu yao kwa weledi na sio vitisho
Mtu anayeingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi lazima atawale kwa vitisho na sio kusikilizana na wananchi.
 
Back
Top Bottom