#COVID19 Tutegemee nini baada ya Rais Samia kusema 'Gwajiboy oyee Tunachanja, hatuchanji' mbele ya Askofu Gwajima?

Viongozi hawawezi toa amri sababu chanjo ni hiari,ila wameshauri usipotoshe!

Chanjo haizuii maambukizi!
Ukichanja lzm ufuate tahadhari zote!
Sasa chanjo ya nini?
Chanjo itakufanya usipelekwe ICU hata kama utaambukizwa, Elewa kwamba Hatari ya corona ni pale itakapofikia mgonjwa hawezi kupumua , hapo ndio huwa ICU ni lazima uwekwe oksijen na hapo ndio huwa kale kamchezo ka " PATA POTEA"
 

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alicheka baadae akaenda kulisha nyani. Rais Samia ana set up
 
It is pure Hippocratic and mimic. "Mama kumia". It is a matter of time. I see the demise of the Gwajiboy in the neighborhood.
 
Mimi nimefiwa sana ndio maana nimechanja. Wewe ambae haujafiwa endelea na imani yako.

Amandla...
Chanjo ndio kinga yako usife?. Mbona wenye hizo chanjo kibao tu wanarudisha namba. Anyways ni hiari kuchanjwa.
 
Ulichofanya hapa umechukua historical pictures umerusha.
Iko hivi. Mtu anaweza kua rafiki yako leo lakini kua rafiki yako hai gurantee kumkosea. Ukimkosea rafiki yako lazima upate reaction. Ndio lowasa alikua ana urafiki na mbowe. Lakini baada ya mbowe kugundua lowassa ni mtu wa aina gani. Mbowe akaamua kugeuka. Ni kitu kinachowezekana.
Sasa unataka kutumia picha ku manupulate watu. Kumbe ww mahakamani unaweza kushindwa kesi kirahisi sana
 
Mkuu hata kama una mahaba na chama au Mbowe, nakushauri sometimes uongee na ukili au moyo wako ili akili au moyo huo vikubali kuchanganua mambo vyenyewe bila kuingiliwa na mahaba ya kichama, mtu au kitu chochote, hapo ndio utaona faida ya kupewa akili na Mungu. Hebu fikiria... hivi inawezekana vipi kwa chama kikubwa na makini kimpe mtu mgeni ambae hajafikisha hata miezi mi5 chamani, na ambae tayari ashajulikana nchi nzima kuwa ni fisadi kuu nafasi ya kugombea uraisi, na kuwaacha wafia chama halisi na wapigania chama wa miaka miaka eti sababu tu ana urafiki na mwenyekiti! Huu ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu. Wanasiasa njaa na uchwara wa Tanzania wanatakiwa wakajifunze siasa nzuri za upinzani kwa raisi Hichilema.
 
Mama kamcheza shere Askofu Baba Gwajima, alidhani anamkwaza Mama kumbe kakutana na Mama wa kizenji, anakukejeli huku akikusifu, aliyewafundisha dharau Wazenji aliwafundisha somo zuri sana.
 
Nimegundua wewe huna akili hakuna haja ya kubishana na ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…