Cholo master
Member
- Feb 15, 2023
- 48
- 22
Uzalendo upi unazungumzia wewe maana jambo hili ni la kawaida yaani mtu asizungumze sababu hayupo kwenye uongozi punguza jazbaInashangaza sana mkuu. Inakatisha tamaa pia wengine wanaona uzalendo hauna maana tena