Tuulinde kwa nguvu zote mchezo wa soka ambao umeanza kuvamiwa na wauza madawa ya kulevya

Tuulinde kwa nguvu zote mchezo wa soka ambao umeanza kuvamiwa na wauza madawa ya kulevya

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Soka ni mchezo unashabikiwa na kuangaliwa na watu wa rika zote wakiwemo watoto hivyo basi popote linapojitokeza jambo ambalo linaweza kushusha heshima ya mchezo huu ni lazima lipigwe vita kali.

Kuna habari kwamba kocha wa makipa wa timu kubwa hapa nchi amekutwa na mzigo wa madawa ya kulevya, hii biashara mnyororo wake ni mrefu inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa ukizingatia siku za karibuni wachezaji wengi hapo klabuni wamekua wakipatwa na majeruhi, kiafya madawa ya kulevya yanaathiri misuli kitu ambacho kinapelekea mwanamichezo anayoyatumia kuumia mara kwa mara.

Hizi taarifa za klabu husika kumkana kocha wao zisipewe uzito maana hakuna ambaye atakubali ushirika na mualifu pale dili linapobuma, ni vyema mamlaka husika zikawahoji pamoja na kuchukua vipimo vya management na wachezaji wote hii itasaidia kuwajua washirika wa huyu kocha hapo klabuni kama wapo.
 
Enaskitisha Sana [emoji23]
IMG_0334.jpg
 
Kazi iendelee. Zile shenea zilizopotea na kimbunga jobo zilipotelea wapi?
 
Soka ni mchezo unashabikiwa na kuangaliwa na watu wa rika zote wakiwemo watoto hivyo basi popote linapojitokeza jambo ambalo linaweza kushusha heshima ya mchezo huu ni lazima lipigwe vita kali.

Kuna habari kwamba kocha wa makipa wa timu kubwa hapa nchi amekutwa na mzigo wa madawa ya kulevya, hii biashara mnyororo wake ni mrefu inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa ukizingatia siku za karibuni wachezaji wengi hapo klabuni wamekua wakipatwa na majeruhi, kiafya madawa ya kulevya yanaathiri misuli kitu ambacho kinapelekea mwanamichezo anayoyatumia kuumia mara kwa mara.

Hizi taarifa za klabu husika kumkana kocha wao zisipewe uzito maana hakuna ambaye atakubali ushirika na mualifu pale dili linapobuma, ni vyema mamlaka husika zikawahoji pamoja na kuchukua vipimo vya management na wachezaji wote hii itasaidia kuwajua washirika wa huyu kocha hapo klabuni kama wapo.
Iwapo ikatokea jambo hili limeenda 'mbali na kupenya ndani ya timu yeyote tutegemee kuona timu ilisambaratika na kufutika kabisa kwani athari zionekanazo mtaani ni zile zile zinazomwathiri yeyote anayejihusisha na kitu hii, hivyo hii yaweza kuwa ni taa nyekundu yenye kuonyesha udharura wa jambo hili kwa taifa.
 
Iwapo ikatokea jambo hili limeenda 'mbali na kupenya ndani ya timu yeyote tutegemee kuona timu ilisambaratika na kufutika kabisa kwani athari zionekanazo mtaani ni zile zile zinazomwathiri yeyote anayejihusisha na kitu hii,hivyo hii yaweza kuwa ni taa nyekundu yenye kuonyesha udharura wa jambo hili kwa taifa.
Ni kweli kabisa
 
Soka ni mchezo unashabikiwa na kuangaliwa na watu wa rika zote wakiwemo watoto hivyo basi popote linapojitokeza jambo ambalo linaweza kushusha heshima ya mchezo huu ni lazima lipigwe vita kali.

Kuna habari kwamba kocha wa makipa wa timu kubwa hapa nchi amekutwa na mzigo wa madawa ya kulevya, hii biashara mnyororo wake ni mrefu inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa ukizingatia siku za karibuni wachezaji wengi hapo klabuni wamekua wakipatwa na majeruhi, kiafya madawa ya kulevya yanaathiri misuli kitu ambacho kinapelekea mwanamichezo anayoyatumia kuumia mara kwa mara.

Hizi taarifa za klabu husika kumkana kocha wao zisipewe uzito maana hakuna ambaye atakubali ushirika na mualifu pale dili linapobuma, ni vyema mamlaka husika zikawahoji pamoja na kuchukua vipimo vya management na wachezaji wote hii itasaidia kuwajua washirika wa huyu kocha hapo klabuni kama wapo.
Naunga mkono hoja tuulinde mchezo wa mpira kwa kukemea vitendo vinavyopromote ushoga kama hivi
JamiiForums-1290500738.jpg
JamiiForums-1379199085.jpg
 
Back
Top Bottom