SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Manji juzi tu hapa,tangu enzi za Abas Gulamali hadi ngada ikamtoa dunianiTangu enzi za Manji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manji juzi tu hapa,tangu enzi za Abas Gulamali hadi ngada ikamtoa dunianiTangu enzi za Manji
Kabisa kabisa
Hawa nao wakapimwe marinda
Kwa kosa gani ?Simba ifungiwe.
Kuna kipindi Arsenal walikua wanapata majeraha sana hivi kumbe shida ndio hii hii ya athari ya madawa ya kulevya eehSoka ni mchezo unashabikiwa na kuangaliwa na watu wa rika zote wakiwemo watoto hivyo basi popote linapojitokeza jambo ambalo linaweza kushusha heshima ya mchezo huu ni lazima lipigwe vita kali.
Kuna habari kwamba kocha wa makipa wa timu kubwa hapa nchi amekutwa na mzigo wa madawa ya kulevya, hii biashara mnyororo wake ni mrefu inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa ukizingatia siku za karibuni wachezaji wengi hapo klabuni wamekua wakipatwa na majeruhi, kiafya madawa ya kulevya yanaathiri misuli kitu ambacho kinapelekea mwanamichezo anayoyatumia kuumia mara kwa mara.
Hizi taarifa za klabu husika kumkana kocha wao zisipewe uzito maana hakuna ambaye atakubali ushirika na mualifu pale dili linapobuma, ni vyema mamlaka husika zikawahoji pamoja na kuchukua vipimo vya management na wachezaji wote hii itasaidia kuwajua washirika wa huyu kocha hapo klabuni kama wapo.
Ngada FC hao.
Kwa kosa gani ?
Hakuna namna utabadili mjadala. Hili halikwepeki kwa Simba.Hawa nao wakapimwe marindaView attachment 2418128View attachment 2418129
Mkuu hakuna mtu asiyejua yale yalikua ni maugomvi binafsi.Kweli unasahau mapema.manji na rizwan walishawahi kutajwa na makonda.
Mashoga mna solidarity sanaHakuna namna utabadili mjadala. Hili halikwepeki kwa Simba.
Punda mzigo utembeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchafu huu haikubaliki hata kidogoNaunga mkono hoja tuulinde mchezo wa mpira kwa kukemea vitendo vinavyopromote ushoga kama hiviView attachment 2417870View attachment 2417872
Huyo Makonda alikuwa anaagizwa na mwendazake awatibue tu. Hao matajiri hawana issue za kipimbi.Kweli unasahau mapema.manji na rizwan walishawahi kutajwa na makonda.
Kuna uzi mmoja upo humu unamuhusu manji na madawa ya kulevya.siukumbuki upo wapi maana ni wa miaka ya 2015.kipindi cha wamsoga
Naunga mkono hoja tuulinde mchezo wa mpira kwa kukemea vitendo vinavyopromote ushoga kama hiviView attachment 2417870View attachment 2417872
Wewe utakuwa mgeni na mpira wa bongo, hizi mambo ziko miaka dahali. Tena kwa timu zote kubwa. Mnafurahia tu kusajiliwa wachezaji kwa bei ghali, na airport mnaenda kuwapokea usiku wa manane, hadi mnagongewa wake zenu kisa timu. Unadhani wao wana visima vya fedha?! "Ukila, lazima na wewe uliwe!!" J. K. Kikwete
Hivi umesoma ulichopost? Simba wamemtimua choko nyie mnawafuga wananenepeana na kubokoana tu.
Umesema inawezekana, so kumbe hauna uhakika halafu bado unaendelea kuandika habari ndefu... inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa