Tuulinde kwa nguvu zote mchezo wa soka ambao umeanza kuvamiwa na wauza madawa ya kulevya

Tuulinde kwa nguvu zote mchezo wa soka ambao umeanza kuvamiwa na wauza madawa ya kulevya

Wewe utakuwa mgeni na mpira wa bongo, hizi mambo ziko miaka dahali. Tena kwa timu zote kubwa. Mnafurahia tu kusajiliwa wachezaji kwa bei ghali, na airport mnaenda kuwapokea usiku wa manane, hadi mnagongewa wake zenu kisa timu. Unadhani wao wana visima vya fedha?! "Ukila, lazima na wewe uliwe!!" J. K. Kikwete
 
Punda wachunguzwe wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa nao wakapimwe marinda
JamiiForums-1290500738.jpg
JamiiForums-1379199085.jpg
 
Soka ni mchezo unashabikiwa na kuangaliwa na watu wa rika zote wakiwemo watoto hivyo basi popote linapojitokeza jambo ambalo linaweza kushusha heshima ya mchezo huu ni lazima lipigwe vita kali.

Kuna habari kwamba kocha wa makipa wa timu kubwa hapa nchi amekutwa na mzigo wa madawa ya kulevya, hii biashara mnyororo wake ni mrefu inawezekana huyu kocha ana washiriki wa kibiashara na wateja wake hapo hapo klabuni hasa ukizingatia siku za karibuni wachezaji wengi hapo klabuni wamekua wakipatwa na majeruhi, kiafya madawa ya kulevya yanaathiri misuli kitu ambacho kinapelekea mwanamichezo anayoyatumia kuumia mara kwa mara.

Hizi taarifa za klabu husika kumkana kocha wao zisipewe uzito maana hakuna ambaye atakubali ushirika na mualifu pale dili linapobuma, ni vyema mamlaka husika zikawahoji pamoja na kuchukua vipimo vya management na wachezaji wote hii itasaidia kuwajua washirika wa huyu kocha hapo klabuni kama wapo.
Kuna kipindi Arsenal walikua wanapata majeraha sana hivi kumbe shida ndio hii hii ya athari ya madawa ya kulevya eeh
 
Wewe utakuwa mgeni na mpira wa bongo, hizi mambo ziko miaka dahali. Tena kwa timu zote kubwa. Mnafurahia tu kusajiliwa wachezaji kwa bei ghali, na airport mnaenda kuwapokea usiku wa manane, hadi mnagongewa wake zenu kisa timu. Unadhani wao wana visima vya fedha?! "Ukila, lazima na wewe uliwe!!" J. K. Kikwete
JamiiForums2069734766.jpg
 
Back
Top Bottom