Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,647
Nipo kwenye gari safarini kuelekea Mbeya nikaamua kununua zangu GB5 za internet ili niweze kuangalia mechi ya watani zangu Yanga Vs Zesco, ila ghafla bin vuu hawa Azam Wameamua kuiondoa chaneli yao inayoonesha mechi hiyo mubashara Azam Sports 2.
Hakika nimesononeka sana kwani naona sasa Safari inaanza kuwa ndefu na nimeghafirika mno. This isn't fair, they should inform us earlier before kuliko kupoteza malengo ya pesa zetu kwa kununulia all these useless GB's.
NB: Nime-Uninstall App yao, daadeki. Tuungane kuipoteza hii App ya hawa washamba.
Hakika nimesononeka sana kwani naona sasa Safari inaanza kuwa ndefu na nimeghafirika mno. This isn't fair, they should inform us earlier before kuliko kupoteza malengo ya pesa zetu kwa kununulia all these useless GB's.
NB: Nime-Uninstall App yao, daadeki. Tuungane kuipoteza hii App ya hawa washamba.