Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni kichaa furani hivi katika Yale makundi ya matahira huwa tunamuita mild impered person usihangaike naye.Kwa mtu aliyesoma saikolojia ataungana na Mimi kuwa wewe Kuna tatizo linakisumbua sio bure utaficha lakini Kuna facts behind!!! Haiwezekani kuwatukana walimu bila sababu Kuna kitu!!! Wewe umejinasibu ni mgogo wa chamwino !!! Kwanini umegushwa na walimu na kutoka lugha za kejeli wakati wagogo wenzio Hali zao wazijua???nani asiyewajua!?? Kwann usiwasemee wait!?? Umeenda mbali zaidi juzi nilisoma comment Yako ukasema bora uliwe Kwa mpalange kuliko kuwa mwalimu!! Kweli nilishangaa Sana !!! Ukasema wewe ni next level na una Prado namba "E" nilicheka Sana mpaka mtoto wangu akaniuliza ( sikumjibu)!!
In short unatatizo kubwa Sana either la malezi au Kuna mwalimu ameingilia angaza zako Sasa unawapanishi collectively!!! .Kwa kifupi umekosa ustaarabu na una ulimbukeni wa kiwango Cha kimataifa!! Sidhani kama unaelewa vizuri unacho kiandika !! Hebu tafuta vizuri ngazi za mishahara ya kada nyingine za umma utaona vizuri!!!
Kwa kifupi umekufuru na Mungu Huwa hanyi uji majibu utayapa .
Nikutakie uck mwema