Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฎ๐ค๐ข๐š๐ฆ๐ค๐š ๐ฏ๐ข๐ฑ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ˆ๐ ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ง๐ข 140 ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐๐ž๐ญ๐š๐ง๐ฒ๐š๐ก๐ฎ ๐ข๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ฎ๐ง๐š๐ณ๐ข๐ง๐ ๐ฎ๐š.
Asante
 
Hivi shida Nini jamani huwapi Raha wenzako hahaha
 

Attachments

  • images (24).jpeg
    images (24).jpeg
    34.7 KB · Views: 9
Ila ujue hii kazi hakuna aliyeshikiwa fimboo aisee Kwa hiyo wameamua kujitolea waache wamejipanga kufa njaa utake usitake kwani hawajaona tokea primary hadi secondary wanavyoteseka halafu mtu akaenda kuchukua bachelour in education basi waache
 
Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.

Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Kweli kabisa mzee. Nashukuru kwa kuliona hili na kutusemea. Nina imani CHAWA wa mama wanapita humu kila siku na bila shaka watalibeba na kumpelekea. Walimu wanatia huruma sana ktk nchi hii ya kusadikika.
 
Kweli kabisa mzee. Nashukuru kwa kuliona hili na kutusemea. Nina imani CHAWA wa mama wanapita humu kila siku na bila shaka watalibeba na kumpelekea. Walimu wanatia huruma sana ktk nchi hii ya kusadikika.
Walimu wanakufa huku jamani
 
Ila ujue hii kazi hakuna aliyeshikiwa fimboo aisee Kwa hiyo wameamua kujitolea waache wamejipanga kufa njaa utake usitake kwani hawajaona tokea primary hadi secondary wanavyoteseka halafu mtu akaenda kuchukua bachelour in education basi waache
Hapana jamani wanatia huruma jamani
 
Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.

Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Hizi threads za Walimu zimeshachosha hapa jf....Agrrrrr!
 
Njaa gani aisee?

Kwani hawalipwi mishahara. Tuacheni sana kuwatilia huruma..

Kuna makundi mengine yana shida kuliko wao.. Bora hata wao wana ajira aiseee
 
Walimu hawana MATATIZO madogo ya utumishi Kama wengine. Ila Kuna pepo baya limewakuta walimu wameharibika tu kisaikolojia.

=====

Baada ya Idara ya:
  • Afya
  • Engineering
  • Sheria (Law school)

Anayefuata kwa Mshahara mkubwa hapo ni Mwalimu. Walimu wa Sayansi Sasa hivi mishahara yao Ina upendeleo Maalum, wanaanzia ngazi ya tatu juu ya walimu wengine.

Wakati watumishi wengine huchukua likizo ya SIKU 28 Mara moja kwa MWAKA, Mwalimu ananufaika na LIKIZO kila wanafunzi wakifunga shule MARA 4 kwa MWAKA.

Mwalimu mwenye MADARAKA Wana POSHO Maalum ya madaraka, wakati hata Ma-Incharge vituo vya Afya na Zahanati WANAJITOLEA tu.

Sasa sijui unapobweka kuhusu Walimu unamaanisha NI?

Kuna watu wa kuwatetea ila sio walimu....hawa viumbe wana roho mbaya sana.....

Serikali iondoe kwanza walimu vilaza then ndio waboreshe we mazingira hawa walimu wenye elimu za kuunga unga sijui daraja la 111 A wana roho mbaya sana.
Walimu daraja la IIIA๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom