Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

kama walimu wanateseka je wasio na ajira kama hana hali mbovu wajaribu kuacha kazi wawe jobless mbona wataishi powa tu mtaani.
 
Mwalimu ndo mtumishi peke anayefanya KAZI Hadi kipindi Cha overtime lakin akidai posho ya overtime anaundiwa zengee la kufukuzwa KAZI na mwajiri wake Cha kushangaza walimu wenzake watamuita wewe ni CHADEMA au upinzani.
 
Mwalimu ndo mtumishi peke anayefanya KAZI Hadi kipindi Cha overtime lakin akidai posho ya overtime anaundiwa zengee la kufukuzwa KAZI na mwajiri wake Cha kushangaza walimu wenzake watamuita wewe ni CHADEMA au upinzani.
Ndoivo hawa jamaa wanapata shida sana ahsee
 
Mishahara
Mwalimu cheti 470K
Diploma 590K
Degree 770K
Degree science 800K

AFYA
Cheti 500K
Diploma 740K
Degree 3years 1,040,000/=
Degree 4years 1,340,000/=
Degree 5years 1,500,000/=


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Si kweli kwamba walimu wanamishahara midogo, walimu wanakuwa na maisha magumu sana baadhi yao si wote sababu ya madeni, wanakopa hela then wanafanyia expenditure na sio asset
 
Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.

Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
𝐒𝐢𝐤𝐮 𝐮𝐤𝐢𝐚𝐦𝐤𝐚 𝐯𝐢𝐱𝐮𝐫𝐢 𝐈𝐐 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐢 140 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐍𝐞𝐭𝐚𝐧𝐲𝐚𝐡𝐮 𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐳𝐢𝐧𝐠𝐮𝐚.
 
Back
Top Bottom