Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

Ila hii serikali ya sasa ya SAMIA Kama Yale ya mei mosi yatatekelezwa kweli mpaka 2030 watumishi pamoja na Walimu watakuwa mbali sana kimasilahi.
 
Walimu wanadharaulika sana ila nani huyo anarmdharau mwalimu ni wale failed students, wasomi wa kuungaunga (certificate to diploma, degree akifika masters) basi utasikia walimu ooh wanateseka nani kakuambia ?
 
Huyu ni kichaa furani hivi katika Yale makundi ya matahira huwa tunamuita mild impered person usihangaike naye.
Hana lolote isipokuwa anataka sifa, umaarufu na attention ya watu humu jf ili ajulikane kupitia vipost vyake vya kijinga vinavyoiponda kada ya ualimu. Ni mpuuzi furani tu aliyemua utambulisho wake ujulikane kupitia kuwaponda walimu ko alishajipatia umaarufu kwa staili hiyo hivyo hawezi kuacha kuwaponda kwa kuwa hana kingine kitakachompa umaarufu zaidi ya maada zake hizi za kijinga. (Kama huamini fatilia nyuzi zake zote) kiufupi hana hoja ya kuandika kama hatoandika kuhusu walimu na ndio maana ikitokea post yoyote inayohusiana na kada ya ualimu basi zaidi ya watu 5-10 wata mtag kwenye comments ili achangie chochote hasa kinachopond au kudhalilisha walimu.
NONSENSE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…