Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #21
Mimi sio mwalimuMwalimu mpwayungu village naungana mawewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mwalimuMwalimu mpwayungu village naungana mawewe
Sawa, bado ni duni pia maana ni Tanzania hata hivyo ili mtumishi aishi Kwa kupenda kazi yake posho ni kitu muhimu sanaZanzibar kima cha mshahara wa chini wakati wa dk shein ilikuwa laki 4,
Tuwakemee wasiwe na tabia hiiNdio wanaiweka ccm madarakani
Thamani yao ipo wakati wa uchaguzi tuTuwakemee wasiwe na tabia hii
Asante Kwa ushauri wako, nadhani watajirekebishaKuna watu wa kuwatetea ila sio walimu....hawa viumbe wana roho mbaya sana.....
Serikali iondoe kwanza walimu vilaza then ndio waboreshe we mazingira hawa walimu wenye elimu za kuunga unga sijui daraja la 111 A wana roho mbaya sana.
Ndio nilitaka uweke kima cha mshahara kwa huko Tanganyika ili nilinganishe na zanzibarSawa, bado ni duni pia maana ni Tanzania hata hivyo ili mtumishi aishi Kwa kupenda kazi yake posho ni kitu muhimu sana
Hata kipindi cha uchaguzi wanapewa pesa yakilofa sana, kazi kubwa malipo sisimiziThamani yao ipo wakati wa uchaguzi tu
Kwa mtumishi wa ngazi ipi?Ndio nilitaka uweke kima cha mshahara kwa huko Tanganyika ili nilinganishe na zanzibar
Leo wamekupa Nini🤷?siyo kawaida yako,au wamekuloga?Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Laki tatu take home Kwa mwalimu wa shule ya msingi daraja ANdio nilitaka uweke kima cha mshahara kwa huko Tanganyika ili nilinganishe na zanzibar
Nimepitia nyuzi zako kadhaa, nimejiridhisha pasipo shaka kuwa wewe ni mwalimu maana asilimia kubwa ya nyuzi zako zinaongelea walimu.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Ni kweli kabisa wanatia hasira sana tuwavumilie tuTatizo ni wajuaji , alaf ni makada , ukisema makosa ya serikali wanakutenga na wanakusinitch , waoga kinyama , huwez kutetea kundi hili unajitakia majanga tuu, wajanja huwa wanajiondokea kwenye hyo Kada , mtu unafundisha physics na chemistry, ni kijiaibisha tuu , fundisha miaka mitano chepukia Afya
Kidogo sana, walipaswa wawe level moja na madaktariLaki tatu take home Kwa mwalimu wa shule ya msingi daraja A
Unawashauri nini walimu, nini maoni yakoKidogo sana, walipaswa wawe level moja na madaktari
Mimi sio mwalimuNimepitia nyuzi zako kadhaa, nimejiridhisha pasipo shaka kuwa wewe ni mwalimu maana asilimia kubwa ya nyuzi zako zinaongelea walimu.
Naunga mkono hoja.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]
Overtime hata watumishi wengine wa kada nyingine wengi hawalipwi, muhimu ni kujiongeza serikali haina huruma na wewe. Fanya kazi mida wako ukiisha nenda home.Navipi kuhusu overtime
Kwani per diem anatakiwa kulipwa Nani?na per diem,
Ukiachana na wafanyakazi wa mashirika ya umma na Wanasiasa, ni mtumishi gani wa serikali za mitaa au kuu ana Food na house allowance??house na food allowances wanapewa pia walimu?
Katika kada 10 zinazolipwa vizuri na serikali kuu walimu wamo.Sisi sote ni binadamu tuwe na utu, walimu sio mbwa ni binadamu kama sisi. Wanaishi Kwa mateso kama wapo kuzimu ninaomba wanachama wote wa jamiiforums tuandae siku maalum ya kuandaa thread juu ya matatizo na changamoto zinazowakumba walimu, haki zao wanazonyimwa na maslahi Yao. Hiyo siku ijae thread za walimu tuuuu, yani iwe ni walimu mwanzo mwisho mpaka serikali isikie kilio Chao.
Walimu nao ni watu tunaishi nao mitaani, kama ilivyo Kwa watumishi wengine Tunaomba nao pia wapewe heshima Yao nawathaminiwe pia maana hii serikali imezoea kuwapuuza sana walimu. Walimu msikubali kuchelewa daini haki zenu walahi mimi kama mpwayungu village nipo pamoja na nyinyi Kwa lolote lile [emoji120][emoji120]