Haki ya maoni ni haki ya kikatiba.
Anayedai katiba kuheshimiwa anastahili kuungwa mkono kikamilifu kwa mukthadha huo.
Polepole kupinga kunyamazishwa ni dai halali kwa mujibu wa katiba.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Pamoja na mapungufu yake kwa kutoa maoni yake, hili la watu wasiojulikana kumwandama ni la kupigiwa kelele hata kama yeye alidhani halimhusu:
Leo ni TV na watu wasiojulikana kesho ya akina Ben, Lijenje na kina Mhina yatamhusu.
Ikumbukwe juzi ilikuwa kina Lijenje kesho nani aijuaye?
Tuupinge udhwalimu bila kujali mtendwa nani.
Anayedai katiba kuheshimiwa anastahili kuungwa mkono kikamilifu kwa mukthadha huo.
Polepole kupinga kunyamazishwa ni dai halali kwa mujibu wa katiba.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Pamoja na mapungufu yake kwa kutoa maoni yake, hili la watu wasiojulikana kumwandama ni la kupigiwa kelele hata kama yeye alidhani halimhusu:
Leo ni TV na watu wasiojulikana kesho ya akina Ben, Lijenje na kina Mhina yatamhusu.
Ikumbukwe juzi ilikuwa kina Lijenje kesho nani aijuaye?
Tuupinge udhwalimu bila kujali mtendwa nani.