Haki haipiganiwi kwa kuangalia sura ya mtu, ukifanya hivyo utakuwa hupiganii haki ya jamii kwa ujumla, bali utakuwa unajipigania haki yako binafsi kwasababu ukiona inavunjwa kwa mwenzako unakaa kimya simply because aliwahi kukusema/kutenda vibaya, ukiangalia sura ya mtu unaungana na wadhalimu kutenda maovu.Itapendeza katika vita kutofautisha kwa dhati kabisa hoja kwa upande mmoja na watoa hoja hizo kwa upande mwingine.
"Mola wetu akatupatie nguvu na hekima ya mapambano."
Haki haipiganiwi kwa kuangalia sura ya mtu, ukifanya hivyo utakuwa hupiganii haki ya jamii kwa ujumla, bali utakuwa unajipigania haki yako binafsi kwasababu ukiona inavunjwa kwa mwenzako unakaa kimya simply because aliwahi kukusema/kutenda vibaya, ukiangalia sura ya mtu unaungana na wadhalimu kutenda maovu.
Yes. Polepole atoe maoni yake, kuheshimu haki zako lazima uziheshimu pia unapoona wa upande wa pili anadhulumiwa haki kama yako bila kujali aliwahi kufanya au kusema nini nyuma, kinyume na hapo utakuwa mbinafsi usiejua unachokipigania, hata kama ni wa CCM wakinyimwa kile unachokipigania siku zote lazima uwe upande wa haki sio kuungana na madhalimu kumkandamiza.
Kama alivyosema mjumbe mmoja atakapokiri amejifunza ni wapi alipokosea hadharani na kukiri kusimamia haki bila ubaguzi wowote tutamwonea huruma Kwa dhati ma tutasimama nae kuipigania haki Kwa dhati bila hofu ya kusalitiwa na watu aina yake katikati ya mapambano ya haki.kwani naamini wapenda haki hawajawahi kuwa katili kiwango Cha kishindwa kumwonea huruma anayeonewa.Itapendeza katika vita kutofautisha kwa dhati kabisa hoja kwa upande mmoja na watoa hoja hizo kwa upande mwingine.
"Mola wetu akatupatie nguvu na hekima ya mapambano."
Yaani kuwa kwenye ubunge ni kuwa kwny dhiki!Yeye si alikuwa bingwa wa kupanga mikakati ya kunyamazisha waliokuwa wanakosoa serikali ya mwendazake, hakujua huko aliko kuna siku aashushwa chini?
Nani ataungana na mnafiki kama pole pole? Angekuwa mwenye haki angepigania haki kuanzia kipindi yupo n maveite, anakula bata, siyo kwenye dhiki tuwe wote, kwenye raha mimi siwajui ninyi!!
Kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe!!!
yaani kuwa kwenye ubunge ni kuwa kwny dhiki!
mbunge ana status na uchumi kuliko kuwa mwenezi wa ccm au chama chochote.
Hata huyo nape alienda kugombea ubunge, na kikanuni akawa amejitema uenezi automatically.
Pole pole habaguliwi kwa sababu ya ya chama chake wala sura yake bali alishiriki kudhurumi hiyo haki kwa wengi na hana uhalali wa kutetea hiyo hakini badala yake huyu ni mbwa mwitu anayetaka kujivisha ngozi ya kondoo kwa hakika lazima apigwe vita vikali maana ndio hao wanaotuchelewesha kuipata katiba kwa njaa njaa zaoHaki haipiganiwi kwa kuangalia sura ya mtu, ukifanya hivyo utakuwa hupiganii haki ya jamii kwa ujumla, bali utakuwa unajipigania haki yako binafsi kwasababu ukiona inavunjwa kwa mwenzako unakaa kimya simply because aliwahi kukusema/kutenda vibaya, ukiangalia sura ya mtu unaungana na wadhalimu kutenda maovu.
Haya mawazo yenu yanawakilisha kundi la wapinzani walioamua kubakia kwenye upinzani forever, lakini kama mna ndoto ya kuongoza serikali mnatakiwa kubadilika ASAP.Hapana kwa kweli, huwezi ingia vitani na mnafiki, maana akugeuka sekunde na kwenda kwa adui, waleeee wamejificha kwenye kichaka pale,
Siwezi mtetea pole pole popote, ajishindie tu vita yake mwenyewe. Hapo alipo anapigania tu tumbo lake baada ya kunyanganywa tonge mdomoni!!
Mbona alipokuwa anakula meza kuuu alikuwa anapangia wenzake mikakati hiyo hiyo miovu ya kuwanyamazisha!! Afadhali hata mwenzake Nape aliweza hata kukataa tonge meza kukuuu na kuusema uovu, hata kama hakuweza kusimama sawasawa angalau tu alijaribu,,
Sasa hv baada ya kuondolewa ndo aone kwamba mikakati ile ile aliyokuwa anapangia wenzake imemgeukia anataka huruma, big NO!
Karma is a bitch!! Na wote waliofanya maovu na kuchekelea yatawafika tu!!
Ni nani ndani ya CCM ambaye hajawahi kuwanyan'ganya haki zenu? naona mnaimba ngonjera msizozijua.Pole pole habaguliwi kwa sababu ya ya chama chake wala sura yake bali alishiriki kudhurumi hiyo haki kwa wengi na hana uhalali wa kutetea hiyo hakini badala yake huyu ni mbwa mwitu anayetaka kujivisha ngozi ya kondoo kwa hakika lazima apigwe vita vikali maana ndio hao wanaotuchelewesha kuipata katiba kwa njaa njaa zao
Haya mawazo yenu yanawakilisha kundi la wapinzani walioamua kubakia kwenye upinzani forever, lakini kama mna ndoto ya kuongoza serikali mnatakiwa kubadilika ASAP.
Mbowe alivyokuwa anaitafuta reconcilliation mbele ya Magufuli aliona mbali, lakini wote mliobaki mlimpuuza na ndio mnaendeleza haya mawazo yenu mpaka sasa.
Kuendelea kumshambulia Polepole huku mna ndoto za kushika dola CCM sio wajinga, mnaonesha wazi mlivyo na visasi na siku ikitokea mkaipata hiyo nafasi hakuna mtakaemuacha, mtawatafuta wote muwachape viboko, naamini kwenu wengi waliopo CCM sasa waliwatendea mabaya.
From hiyo mentality mliyomo, sidhani hata kama mnaelewa maana ya kuidai Katiba Mpya, inaonekana huwa mnaimba tu muipate kwa ajili ya kutimiza matakwa yenu, na kwa akili zenu hizi, siamini kama kuna siku CCM watajichanganya wawape, itatafutwa mpaka uzeeni huku mkiendelea kuamini Karma kwa specific individuals isiyo na impact yoyote kwa upinzani kwa ujumla.
Kwani tundu lisu alifanya nini?? Si alikuwa anatoa maoni yake???? Si mnamuita msaliti hapa jamvini??? Alimsaliti nani? Adhabu yake ni risasi zote zile????Haki ya maoni ni haki ya kikatiba.
Anayedai katiba kuheshimiwa anastahili kuungwa mkono kikamilifu kwa mukthadha huo.
Polepole kupinga kunyamazishwa ni dai halali kwa mujibu wa katiba.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Pamoja na mapungufu yake kwa kutoa maoni yake, hili la watu wasiojulikana kumwandama ni la kupigiwa kelele hata kama yeye alidhani halimhusu:
View attachment 2042530
Leo ni TV na watu wasiojulikana kesho ya akina Ben, Lijenje na kina Mhina yatamhusu.
Ikumbukwe juzi ilikuwa kina Lijenje kesho nani aijuaye?
Tuupinge udhwalimu bila kujali mtendwa nani.
Bora kubaki na hiyo mentality kuliko ukigeugeu na usaliti wa kuunga juhudi baada manunuzi🤔.Haya mawazo yenu yanawakilisha kundi la wapinzani walioamua kubakia kwenye upinzani forever, lakini kama mna ndoto ya kuongoza serikali mnatakiwa kubadilika ASAP.
Mbowe alivyokuwa anaitafuta reconcilliation mbele ya Magufuli aliona mbali, lakini wote mliobaki mlimpuuza na ndio mnaendelezaBoe haya mawazo yenu mpaka sasa.
Kuendelea kumshambulia Polepole huku mna ndoto za kushika dola CCM sio wajinga, mnaonesha wazi mlivyo na visasi na siku ikitokea mkaipata hiyo nafasi hakuna mtakaemuacha, mtawatafuta wote muwachape viboko, naamini kwenu wengi waliopo CCM sasa waliwatendea mabaya.
From hiyo mentality mliyomo, sidhani hata kama mnaelewa maana ya kuidai Katiba Mpya, inaonekana huwa mnaimba tu muipate kwa ajili ya kutimiza matakwa yenu, na kwa akili zenu hizi, siamini kama kuna siku CCM watajichanganya wawape, itatafutwa mpaka uzeeni huku mkiendelea kuamini Karma kwa specific individuals isiyo na impact yoyote kwa upinzani kwa ujumla.
Hio sio kanuni SAHIHI ya kujenga nchi,Heri kunyamaza, kama Magufuli alivyonyamaza enzi za Kikwete hatimaye kunyamaza kwake kukampatia urais.
Kwani nyie ni wapigania haki?Kama alivyosema mjumbe mmoja atakapokiri amejifunza ni wapi alipokosea hadharani na kukiri kusimamia haki bila ubaguzi wowote tutamwonea huruma Kwa dhati ma tutasimama nae kuipigania haki Kwa dhati bila hofu ya kusalitiwa na watu aina yake katikati ya mapambano ya haki.kwani naamini wapenda haki hawajawahi kuwa katili kiwango Cha kishindwa kumwonea huruma anayeonewa.
Hivi kweli Polepole ni mjinga kutaka huruma ya wananchi?Pole pole amejitengenezea tukio ili apate sympathy kwa wananchi.
Kama hajajitengenezea tukio, basi ni wezi wa kawaida tu ambao huwaibia watu wengine pia. Si kaibiwa Tv?
Wanaonyamazishwa huwa wanadhuriwa physically na siyo huu usanii wa kupeleka vibaka kufanya ransoms kwenye nyumba na kusema eti anataka kunyamazishwa.
Apambane na hali yake na kila mtu ashinde mechi zake mwenyewe.
Hata ya unae mtetea sharti akubali alipokiuka haki za wengine na utayari wakuacha ukigeugeu ama Kwa maslahi binafsi au Yale ya kisiasa au wale anaowapigania🤔.Kwani nyie ni wapigania haki?
Mlipigania haki ya Nani?
Mbowe yupo ndani, piganieni haki yake!