Tuwaambie tu ukweli kina dada, ni wachache mno wanaopendeza kwa suruali

Nakumbuka Dr. (Mwalimi) mmoja alituambia kutokana na maumbile suruali ni vazi la mwanamke. Ila mwanaume baada ya kuona anakosa Uhuru mbele ya mke akivaa Gauni akabadilisha utaratibu. Mfano ni pale mjomba akiamka unaanza kutafuta pakukaa ghafla.
Ila kumvalisha suruali mtu ambaye kwenda haja ndogo tu ni 'lazima' achuchumae.....sio convenient!
 
Hata mi ningekua mwanamke ningevaa suruali kwakua ningepata flexibility ya kukimbia na kukaa bila kuwazia kama kuna mtu ananipiga chabo.

Pia suruali unaweza kuvalia viatu vya aina mbalimbali hata gum boot.

Haya maisha unaishi kwa kukimbia? Basi kuna maeneo yake, mfano mazoezi na nguo zake.

Speaking of kukaa kwa kujiachia, mwanamke ana mikao yake na kila mkao una maana (tafsiri) yake…. sio kujikalia tu.[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mtuache na vitambi vyetu mm binafsi umbo langu ni baya sana linazidi la yule binti anaigiza Filamu ya Jua kali. Lakini suruali hapa ndio mahali pake yani siwezi kabisa kuvaa sketi wala gauni ni suruali tu na umbo langu kama Mkeka.
 
Haya maisha unaishi kwa kukimbia? Basi kuna maeneo yake, mfano mazoezi na nguo zake.

Speaking of kukaa kwa kujiachia, mwanamke ana mikao yake na kila mkao una maana (tafsiri) yake…. sio kujikalia tu.[emoji1][emoji1][emoji1]
Unataka tuanze kubishana?
 
Aisee
 
Umeongea point Sana ndugu

Sidhani hawa wenzetu kama wanawatu wa kiwashauri jinsi wanavyotokea
 
Sitaki kubishana.

Ulishasema "ungekuwa mwanamke" hivyo huenda unatamani kuwa au una vimelea vya kike, siwezi kubishana.
Hatari.

Kwahiyo umeamua kuhitimisha natamani kua mwanamke?
 
Mwanamke hatakiwi kujifananisha na mwanaume, na mwanaume hatakiwi kujifananisha na mwanamke.. ..so, any body abaki na mavazi yake, tena ya heshima.. ..nadhani tumeelewana.



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ”₯πŸ”₯
 
Mtuache na vitambi vyetu mm binafsi umbo langu ni baya sana linazidi la yule binti anaigiza Filamu ya Jua kali. Lakini suruali hapa ndio mahali pake yani siwezi kabisa kuvaa sketi wala gauni ni suruali tu na umbo langu kama Mkeka.

Umbo kama mkeka![emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…