Ila kumvalisha suruali mtu ambaye kwenda haja ndogo tu ni 'lazima' achuchumae.....sio convenient!Nakumbuka Dr. (Mwalimi) mmoja alituambia kutokana na maumbile suruali ni vazi la mwanamke. Ila mwanaume baada ya kuona anakosa Uhuru mbele ya mke akivaa Gauni akabadilisha utaratibu. Mfano ni pale mjomba akiamka unaanza kutafuta pakukaa ghafla.
Hata mi ningekua mwanamke ningevaa suruali kwakua ningepata flexibility ya kukimbia na kukaa bila kuwazia kama kuna mtu ananipiga chabo.
Pia suruali unaweza kuvalia viatu vya aina mbalimbali hata gum boot.
πππππ
Unataka tuanze kubishana?Haya maisha unaishi kwa kukimbia? Basi kuna maeneo yake, mfano mazoezi na nguo zake.
Speaking of kukaa kwa kujiachia, mwanamke ana mikao yake na kila mkao una maana (tafsiri) yakeβ¦. sio kujikalia tu.[emoji1][emoji1][emoji1]
... kanzu na dera hazina tofauti sana.Kama ni vazi la mwanamke, ingezoeleka hivyo kama ilivyo kwa kanzu⦠hebu tuambie mfano mtu akivaa kanzu anakosa uhuru upi?
AiseeNi wachache mno, wengi wao ni mkumbo tu na kufuata upepo wa fasheni. Elewa hakuna kitu kwa ajili ya kila mtu, chagua chako na ukubali. Kama ilivyo kwa wanaume, sio wote watavaa pensi.
Sketi na magauni yanawakaa poa sana, hata wale wenye maumbo ya kanda pendwa hupendeza.
Suruali sina ubaguzi. Zikigoma acha, unakuwa kituko. Tatizo watu hawatakwambia ukweli, na sio kweli kwamba hawajali eti watamaindi mambo yao.
Unajitekenya tu.
Basi sikia ushauri, au endelea kushupaza shingo ili utusaidie vichekesho vya bure tupunguze stress zetu.
Ncha Kali.
Hatari.Sitaki kubishana.
Ulishasema "ungekuwa mwanamke" hivyo huenda unatamani kuwa au una vimelea vya kike, siwezi kubishana.
πππ Niache aseee niacheUnavaa huvai?[emoji1][emoji1][emoji1]
Mtuache na vitambi vyetu mm binafsi umbo langu ni baya sana linazidi la yule binti anaigiza Filamu ya Jua kali. Lakini suruali hapa ndio mahali pake yani siwezi kabisa kuvaa sketi wala gauni ni suruali tu na umbo langu kama Mkeka.