IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
😂😂😂😂😂😂 Gily are you there brother hahahahaaaFine by me only if you will agree to be my second husband❤️.
Uwe na heshima tu kwa mume mwenzio utakayemkuta🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂 Gily are you there brother hahahahaaaFine by me only if you will agree to be my second husband❤️.
Uwe na heshima tu kwa mume mwenzio utakayemkuta🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kusutwa Sunna usiogopeHapana kwa kweli hili la umbea lini epuke kwa kweli Oh lord!
Right this moment I feel lik I own more than this world. We gonna have three kids, two boys who looks like me. And one girl beautiful like her mother i am thinking of naming her Cleopatra 😄Ni kweli my mcheps!
Iam all yours when my main man is not around😂
haha unakosa raha mapema hivi 🤣
hicho kikombe kama kikikupendeza eh Bwana Mungu kipite mbali🤣🤣Hapana kwa kweli hili la umbea lini epuke kwa kweli Oh lord!
What now? what husband?Fine by me only if you will agree to be my second husband❤️.
Uwe na heshima tu kwa mume mwenzio utakayemkuta🙏
No no no! Najiheshimu sana kwa kweli...😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kusutwa Sunna usiogope
Mi nakuzoom tu unavyopigishwa vocal na kwa lugha ya kimalkia,,,nikajua ndio unawapendaga hao kina yoooh wats up men!
Weeee kwani tukifanya umbea ndani kwetu Nani anajua bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣tunawasengenyaaa huku tunakula kiubwabwa chetu na kachumbariNo no no! Najiheshimu sana kwa kweli...😂😂😂
lugha isikutishe mimi ni mchaga natokea Rombo huko milimami🤣Mi nakuzoom tu unavyopigishwa vocal na kwa lugha ya kimalkia,,,nikajua ndio unawapendaga hao kina yoooh wats up men!
Hahahahaa Joannah you made my day 😂😂😂Mi nakuzoom tu unavyopigishwa vocal na kwa lugha ya kimalkia,,,nikajua ndio unawapendaga hao kina yoooh wats up men!
Sasa mkuu tukipoa hamtaki..tukichangamka napo hamtaki ..heb chaguen moja basiWa hivi huwa mnaboa sana.yaani mwanamme kachangamka Hadi anaaibisha🤣🤣🤣🤣
Its creepy to me and I felt sorry for Leejay and thank God I never sweat😂🤣🤣🤣nimecheka kama mjinga na navyoumwa hapa🤣🤣🤣
There is a Gily in your future. Do you know why? now you are already sick of me. Which is a good thing. I am that good sickness like a beautiful addiction. 😍
that will never happen 🤣 Leejay49 was just a strange fiction story. Is she kibwengo now🤣🤣🤣 I bet she isn't
I will hand you with care and even kiss the sweat of your face with my nice lips. It's not creepy it's love😍😍
Nyie wanawake hamridhiki na mnachokitaka na kukipata, kiujumla hamueleweki.Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Muwe na kiasi aseeSasa mkuu tukipoa hamtaki..tukichangamka napo hamtaki ..heb chaguen moja basi
😂Hahahahaaa kibwengo Leejay49 na mvua nguo mwenye kiba100 Gily 😂😂😂😂 nimecheka sana huyu Binadamu Mtakatifu hafai kabisa kwenye jamii na tajiri mchawi Half american 😂😂😂😂
This one day nilikuw nachungulia majiran getini wanagombana kugeuka namuone wife anachungulia upande mwingine na hatukoonana kama tunachungulia🤣🤣🤣 nikamwambia mama watoto twende ndani tuache umbea na mambo ya watu🤣Weeee kwani tukifanya umbea ndani kwetu Nani anajua bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣tunawasengenyaaa huku tunakula kiubwabwa chetu na kachumbari
Ukimkasirisha ndio utammjua vizuriJamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha