Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Ni kweli my mcheps!
Iam all yours when my main man is not around😂
Right this moment I feel lik I own more than this world. We gonna have three kids, two boys who looks like me. And one girl beautiful like her mother i am thinking of naming her Cleopatra 😄

wachawi wote humu ndani naomba msiinholie mapenzi yetu..Najua mnakesha kwenye nyuzi za usiku wa manane na mchana selfika🤣🤣🤣
 
Fine by me only if you will agree to be my second husband❤️.
Uwe na heshima tu kwa mume mwenzio utakayemkuta🙏
What now? what husband?
gru-despicable-me-3-2017 (3).jpg

to the other guy who's wants to date you ama zangu ama zake🤣
IMG_20220713_230946.jpg
 
ALAFU KUNA MEMBER MNATABIA ZA KISENGE UZI WA WAWATU MMEUFANYA KIJIWE CHENU CHA STORY NA KUACHA KILE MLETA MADA ALITAKA KIJADILIWE NYIE MMEJAZA MACOMENT YENU YA KIKUMA FANYENI MUACHE HUO USENGE MNABOA
 
🤣🤣🤣nimecheka kama mjinga na navyoumwa hapa🤣🤣🤣

There is a Gily in your future. Do you know why? now you are already sick of me. Which is a good thing. I am that good sickness like a beautiful addiction. 😍

that will never happen 🤣 Leejay49 was just a strange fiction story. Is she kibwengo now🤣🤣🤣 I bet she isn't

I will hand you with care and even kiss the sweat of your face with my nice lips. It's not creepy it's love😍😍
Its creepy to me and I felt sorry for Leejay and thank God I never sweat😂
 
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida

Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote

Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.

Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.

Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.

Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Nyie wanawake hamridhiki na mnachokitaka na kukipata, kiujumla hamueleweki.
 
Weeee kwani tukifanya umbea ndani kwetu Nani anajua bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣tunawasengenyaaa huku tunakula kiubwabwa chetu na kachumbari
This one day nilikuw nachungulia majiran getini wanagombana kugeuka namuone wife anachungulia upande mwingine na hatukoonana kama tunachungulia🤣🤣🤣 nikamwambia mama watoto twende ndani tuache umbea na mambo ya watu🤣

mkiwa ndani ya nyumba umbea ni lazima haukwepek ila usizidi 🤣 unawez jikuta wewe na mkeo mnajunguana huko kwa watu wengine
 
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida

Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote

Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.

Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.

Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.

Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Ukimkasirisha ndio utammjua vizuri
 
Back
Top Bottom