Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

She is my sister inlaw too.
I like her but I like you more.❤️
Yes we are talking about sister in law to the same guy 🙃😀

hahaha you like me yet you like crushing me down so badly 😢 🤪 😜
 
Unachosema ni kweli mtu alivyo ndivyo alivyo mfano mimi adi nyumbani nilikua nagombezwa naambiwa nimezidi upole, ad nipo chuo nasoma shahada yangu ya ualimu naambiwa wew utakua unachezewa na wanafunzi lakini mimi naona nipo normal tu naongea vizuri na marafiki zangu japo sio mtu wa kutoka sana huwa nipo tu bize na Mambo yangu, sioni upole wangu ukinipa athari yeyote natabasamu mda mwingi napokua na watu naowajua ila kama sijakuzoea mara nyingi nakua mkimya sana.
Ndo hivyo mkuu na hata ujifosi kuwa muongeaji huwezi.

Mimi sio mpole ila watu wengi wanadhan ni mpole na wengine.wanadhan nina dharau ila kuna watu nikiwa nao najikuta story zinakuja tu na wengine nakua muitikiaji tu.
 
How can I crush a villain down?
I cant do that🤣
I am down right now. Heart broken
maxresdefault (1).jpg
 
Back
Top Bottom