kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Mikoa 14 ya kenya imetangazwa kuwa na ukame mkali na wametangaza njaa kama janga la kitaifa
Hiyo nchi sijui ina laana gani?Si wanajifanyaga wameendelea hawa kumbe hawana lolote
Ardhi yote wamewapa mabeberu wakalima GMO ambazo zinaharibu ardhi. Kenya ni failed regime
Hawa mabeberu weusi wameshindwa kabisa yaani, sasa ninyi mnaofananisha kenya na Tz mshindwe, msifananishe Tz na vitu vya ajabu ajabu msifananishe tz na nchi ambayo hadi leo wameshindwa kustaarabika
Nchi ambayo masikini wapo wa kutupwa nchi ambayo vitu ni ghali sana, nchi ambayo wao hujikweza kwamba ni mabeberu weupe na kiinglish chao ambacho hakiwasaidii chochote
Hiyo nchi imeshindwa na hawatokaa waendelee milele, na matajiri watabaki matajiri na maskini watazidi kuumia na kubaki wanyonge
Ni nchi isiyo na fursa hata kidogo wanaofaidi ni wale waligawana ardhi kipindi cha uhuru na ukoloni
Hakuna maendeleo kenya wanayo, fao ni failed regime wanajitapaga bure mabeberu wale lakini hawana lolote hujikwezwa kwa miradi ya mikopo tu
Wapo radhi wakope trilioni 5 wajenge barabara za juu huku raia wakila nyasi halafu hujitapa na hizo barabara wanaoenjoy ni mabeberu tu
Ubepari ni unyama alisema baba wa taifa, haya tuwapelekee hawa mabepari wa east africa msosi maana njaa mbaya sana
Hiyo nchi sijui ina laana gani?Si wanajifanyaga wameendelea hawa kumbe hawana lolote
Ardhi yote wamewapa mabeberu wakalima GMO ambazo zinaharibu ardhi. Kenya ni failed regime
Hawa mabeberu weusi wameshindwa kabisa yaani, sasa ninyi mnaofananisha kenya na Tz mshindwe, msifananishe Tz na vitu vya ajabu ajabu msifananishe tz na nchi ambayo hadi leo wameshindwa kustaarabika
Nchi ambayo masikini wapo wa kutupwa nchi ambayo vitu ni ghali sana, nchi ambayo wao hujikweza kwamba ni mabeberu weupe na kiinglish chao ambacho hakiwasaidii chochote
Hiyo nchi imeshindwa na hawatokaa waendelee milele, na matajiri watabaki matajiri na maskini watazidi kuumia na kubaki wanyonge
Ni nchi isiyo na fursa hata kidogo wanaofaidi ni wale waligawana ardhi kipindi cha uhuru na ukoloni
Hakuna maendeleo kenya wanayo, fao ni failed regime wanajitapaga bure mabeberu wale lakini hawana lolote hujikwezwa kwa miradi ya mikopo tu
Wapo radhi wakope trilioni 5 wajenge barabara za juu huku raia wakila nyasi halafu hujitapa na hizo barabara wanaoenjoy ni mabeberu tu
Ubepari ni unyama alisema baba wa taifa, haya tuwapelekee hawa mabepari wa east africa msosi maana njaa mbaya sana