saim28
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 214
- 369
Karibu mkuuAsante mkuu. Ukame ni kazi ya Maulana. Hakuna haja ya kuchekana.
Watu wanasahau juzi tu serekali imetangaza baadhi ya mikoa itakumbwa na upungufu wa mvua hivo italeta athari katika uchumi wetu halafu anakuja mtu anadhhihaki wengine