Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Ndio mna chakula ya kutosha lakini bottom line ni kwamba Kenya ina HDI index ya juu kushinda TZ.Sizitaki mbichi hizi. Mdogo wangu Tony254 the bottom-line of whatever we are doing is the food on the table. Sasa kama kuna watu hawawezi kula, basi nishidaa.