Tuwachangie Wakenya chakula, njaa na ukame vinawamaliza

Tuwachangie Wakenya chakula, njaa na ukame vinawamaliza

Wewe unaita Kenya uharo ilhali Mkenya mmoja ana pesa kushinda Mtanzania mmoja? Mtanzania mmoja ni masikini kushinda Mkenya mmoja. Hio ni fact. Katazame Gni per capita kati ya Kenya na Tanzania nani ana Gni per capita ya juu kushinda mwingine. Kisha utazame HDI kati ya Kenya na TZ uone nani ana HDI ya juu kushinda mwingine.
Nani anaongoza Africa katika "Economic inclusivity, food security, water availability, better housing and security hapa EA?
 
Nani anaongoza Africa katika "Economic inclusivity, food security, water availability, better housing and security hapa EA?
Hivi vigezo vitatu ndivyo vinazingatiwa katika kucalculate HDI kisha average yao inachukuliwa. Kenya tuna higher HDI index kushinda TZ.
Fuata link hapa usome zaidi



CC Mtanzania mtundu eliakeem
 
Mimi ninachojua hapa africa nchi 4 tuu zinapita utajiri tanganyika . Ni vile tuu tuna viongozi washamba wa maendeleo. Ila kenya ni nchi maskini sana
 
Mimi ninachojua hapa africa nchi 4 tuu zinapita utajiri tanganyika . Ni vile tuu tuna viongozi washamba wa maendeleo. Ila kenya ni nchi maskini sana
Tumewashinda kwenye utajiri japo hatuna rasilimali ya madini kama nyinyi. Tuna rasilimali ya watu (human resource). Kiwango cha masomo hapa Kenya kipo juu na Wakenya wamesoma kuwashinda. Wanafanya kazi duniani kote na kutuma nyumbani hela na kuinvest katika real estate. Pia tuna-attract a lot of foreign direct investment. Kwa sasa barabara za Kenya ni nzuri kushinda zenu. Tunajitosheleka kwenye suala la uzalishazi umeme.
 
Tumewashinda kwenye utajiri japo hatuna rasilimali ya madini kama nyinyi. Tuna rasilimali ya watu (human resource). Kiwango cha masomo hapa Kenya kipo juu na Wakenya wamesoma kuwashinda. Wanafanya kazi duniani kote na kutuma nyumbani hela na kuinvest katika real estate. Pia tuna-attract a lot of foreign direct investment. Kwa sasa barabara za Kenya ni nzuri kushinda zenu. Tunajitosheleka kwenye suala la uzalishazi umeme.
Utajiri gani wakati kenya ni mali ya malkia wa uingereza. Na familia chache wengine wote ni watumwa ndio maana mpo nje cha kenya kuliko nchi kwenu
 
Hivi vigezo vitatu ndivyo vinazingatiwa katika kucalculate HDI kisha average yao inachukuliwa. Kenya tuna higher HDI index kushinda TZ.
Fuata link hapa usome zaidi



CC Mtanzania mtundu eliakeem
Punguza maneno, nimekuuliza kuhusu mahitaji muhimu ya binadamu, how can you compare education vs food?
 
Tumewashinda kwenye utajiri japo hatuna rasilimali ya madini kama nyinyi. Tuna rasilimali ya watu (human resource). Kiwango cha masomo hapa Kenya kipo juu na Wakenya wamesoma kuwashinda. Wanafanya kazi duniani kote na kutuma nyumbani hela na kuinvest katika real estate. Pia tuna-attract a lot of foreign direct investment. Kwa sasa barabara za Kenya ni nzuri kushinda zenu. Tunajitosheleka kwenye suala la uzalishazi umeme.

Ndiyo, unaweza kusema mko juu kwenye riadha, remittances, n.k. lkn hujiulizi, kwa nini mpaka karne hii mnawatu zaidi ya 2.5 milioni wana taka kufa njaa? Wewe huoni hizo takwimu haziwasaidii?? Iwapo tu mlo, a very basic need for the human being can not be afforded by a good number of individual kenyans???
 
Nyinyi pandeni chakula sisi tutanunua kutoka kwenu.
Halafu wewe una kiburi sana. Unajua tutawanyima msosi. Hivi unajua maghala yetu ya msosi yamejaa misosi....?!

Sasa nyie tunataka kuwapa msosi wewe unakuja kuleta kiburi chako hapa pumbavu kabisa wewe.
 
Karibu mkuu

Watu wanasahau juzi tu serekali imetangaza baadhi ya mikoa itakumbwa na upungufu wa mvua hivo italeta athari katika uchumi wetu halafu anakuja mtu anadhhihaki wengine
Huku sasa ni kujipendekeza na kujikomba kusiko na maana wala faida.

Wewe unasikiaga maneno ya hawa viumbe wanapotuongelea?! Hivi vijamaa vina dharau na sisi bila sababu na ni wao ndo wameanza vimbwanga wakati sisi ni very friendly.

Lets call it spade a spade. Acha kuvunga unatuaibisha.
 
Punguza maneno, nimekuuliza kuhusu mahitaji muhimu ya binadamu, how can you compare education vs food?
UN imeangalia mahitaji muhimu ikaamua hizo tatu ndio muhimu. Mambo ya chakula wala UN haina haja nayo. Ujue chakula ambayo huwa mnaringa nayo haitumiki kucalculate HDI. Kamwambie mwenzako eliakeem anayependa kuzungumza kuhusu chakula.
Msinikasirikie mimi kasirikieni UN.
 
Ndiyo, unaweza kusema mko juu kwenye riadha, remittances, n.k. lkn hujiulizi, kwa nini mpaka karne hii mnawatu zaidi ya 2.5 milioni wana taka kufa njaa? Wewe huoni hizo takwimu haziwasaidii?? Iwapo tu mlo, a very basic need for the human being can not be afforded by a good number of individual kenyans???
2.5 million out of 48 million Kenyans ni wachache sana. Hao ni 2.5/48×100= 5% ya Wakenya.

Ila tutawasaidia kupata chakula usijali.
 
Huku sasa ni kujipendekeza na kujikomba kusiko na maana wala faida.

Wewe unasikiaga maneno ya hawa viumbe wanapotuongelea?! Hivi vijamaa vina dharau na sisi bila sababu na ni wao ndo wameanza vimbwanga wakati sisi ni very friendly.

Lets call it spade a spade. Acha kuvunga unatuaibisha.
Wacha mwenzako ajieleze. Ana haki ya kujieleza anavyotaka.
 
Halafu wewe una kiburi sana. Unajua tutawanyima msosi. Hivi unajua maghala yetu ya msosi yamejaa misosi....?!

Sasa nyie tunataka kuwapa msosi wewe unakuja kuleta kiburi chako hapa pumbavu kabisa wewe.
Hatutaki msosi wenu sisi tutanunua kutoka Mexico.
 
2.5 million out of 48 million Kenyans ni wachache sana. Hao ni 2.5/48×100= 5% ya Wakenya.

Ila tutawasaidia kupata chakula usijali.

Kwa hiyo hao ndiyo wana haki ya kufa!!?
 
UN imeangalia mahitaji muhimu ikaamua hizo tatu ndio muhimu. Mambo ya chakula wala UN haina haja nayo. Ujue chakula ambayo huwa mnaringa nayo haitumiki kucalculate HDI. Kamwambie mwenzako eliakeem anayependa kuzungumza kuhusu chakula.
Msinikasirikie mimi kasirikieni UN.

Sizitaki mbichi hizi. Mdogo wangu Tony254 the bottom-line of whatever we are doing is the food on the table. Sasa kama kuna watu hawawezi kula, basi nishidaa.
 
Back
Top Bottom