Ndio mna chakula ya kutosha lakini bottom line ni kwamba Kenya ina HDI index ya juu kushinda TZ.Sizitaki mbichi hizi. Mdogo wangu Tony254 the bottom-line of whatever we are doing is the food on the table. Sasa kama kuna watu hawawezi kula, basi nishidaa.
UN haitimii chakula Wala hewa ya Oxygen kwasababu hivi sio maendeleo, wao wanaamini hivi ni lazima kwa maisha ya binadamu, huwezi kufikiria maendelea katika taifa lisilo na chakula [emoji23][emoji23]UN imeangalia mahitaji muhimu ikaamua hizo tatu ndio muhimu. Mambo ya chakula wala UN haina haja nayo. Ujue chakula ambayo huwa mnaringa nayo haitumiki kucalculate HDI. Kamwambie mwenzako eliakeem anayependa kuzungumza kuhusu chakula.
Msinikasirikie mimi kasirikieni UN.
5% ni kubwa Sana, kuanzia 2% inahesabika kuwa ni "public problem"2.5 million out of 48 million Kenyans ni wachache sana. Hao ni 2.5/48×100= 5% ya Wakenya.
Ila tutawasaidia kupata chakula usijali.
Sawa Baba MchungajiSi vyema kuwacheka na kuwadhihaki kwan wanapitia kipind kigumu sana ambacho hata wao hawakukiomba kitokee.
Tunapaswa kuwaombea kwa Mungu awaondoshee dhahama hii.
Tukikataa kuwauzia je??.Nyinyi pandeni chakula sisi tutanunua kutoka kwenu.
Sio kweli.Wewe unaita Kenya uharo ilhali Mkenya mmoja ana pesa kushinda Mtanzania mmoja? Mtanzania mmoja ni masikini kushinda Mkenya mmoja. Hio ni fact. Katazame Gni per capita kati ya Kenya na Tanzania nani ana Gni per capita ya juu kushinda mwingine. Kisha utazame HDI kati ya Kenya na TZ uone nani ana HDI ya juu kushinda mwingine.
HahahaUN haitimii chakula Wala hewa ya Oxygen kwasababu hivi sio maendeleo, wao wanaamini hivi ni lazima kwa maisha ya binadamu, huwezi kufikiria maendelea katika taifa lisilo na chakula [emoji23][emoji23]
Tutanunua kutoka Mexico.Tukikataa kuwauzia je??.
Hamna ujanja huo.Tutanunua kutoka Mexico.
Skuwahi fikiria kua mchungajiSawa Baba Mchungaji