Tuwaeleweje hawa wanaume wanaojichubua, kuvaa modo, kusuka na kutoboa pua?

Kamwe sitakuja Kuvaa Mashati ya Vitenge au kujichubua Ila Kuwa mwanaume siyo ruhusa ya Mimi kuwa Mchafu Uso kama fenesi
 
Jamani mbona mnataka kupendeza wenyewe tu ah[emoji5] [emoji5] . Nasisi tunataka kupendeza kama nyinyi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Jamani sio wote, mbona wengine twavaa vizuri tu hatujipodoi, kiufupi sabuni zetu ni kuku,mbuni
Mafuta ni nivea au babycare
Shati si ya kubana, suruali kubwa kiasi na kiatu cheusi
Nywele zimekatwa vizuri tu brush imezitana
Mkiwaongelea hao mnaowaita wanaume wa Dar msituonganishe na sisi tusiohusika
 
Wanavaa modo, hawavai soksi sikuhizi, wanafanya manicure, pedicure, wanatinda nyusi, wakipiga picha sasa mdomo wanaweka ile style ya kiss huku wameshika viuno na miguu wameipindisha. Ndio maana Katalina_Karatu kule IG anawa add wanaume wa aina hii kwenye Group la Songea Girls.
 
hivi mnajisikiaje kuona hao wanaume wenzenu wakiwa hivyo?

Mimi huwa najisikia kichefuchefu ikitokea niko safarin iwe kwenye basi au ndege kama nimepangwa naye....

nitatafuta kila sababu kuhama kiti nakama nilifti namtosa..gari yangu hapandi bwabwa aslani.
 
Mmb mengine ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono so tuache dunia iende inakoenda kwanz mwisho umekaribia, we chelewa kuwaangalia hao wanaume badala ya kuset vizuri mambo yako
 
Wanaume wa Daslam wanasababisha tunadharaulika sana huku JF.

Wao wanasema ni swaga na wakikukuta umepiga old school unakuta wanakucheka na kukuita mshamba.

Badilikeni jamaa zetu wa Daslam siyo kila kitu muige vingine viache tu vipite.

Pia na nyie Dada zetu ndiyo manawafanya hao wanaume wa dar wavimbe vichwa maana huwa mnawasifia sana kwa kuvaa modo.
 
Utandawaz unawaharibu vijana. Kwa nini mtu asiwe real... kama alivyo...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…