gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Kwani hili jambo lina umuhimu gani kwenye hii nchi?.maana yako mambo mengi ya msingi yametushinda leo tunafanya ubadhirifu wa pesa kwa jambo ambalo halina chochote cha maana kwa maendeleo ya nchi na wananchi.usifikiri wanaokosoa wanakua hawana hoja ya msingi.ila pia ata wewe hujakatazwa kusifia kila kitu.uzuri nikwamba wewe unayesifia iko siku utakuja kulalamika kwa jambo flani litakalokugusa.Mapambio hayana nafasi kwenye nchi inayopambana kujikomboa.Wazee wa ambush nawaona mnavizia kila event mpinge na kukosoa tuu, hatari sana hii.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app