Tuwafahamu baadhi ya Masensei wetu wakongwe waliofanya kazi kubwa na wanaoendelea kueneza Misingi ya Karate Tanzania

Tuwafahamu baadhi ya Masensei wetu wakongwe waliofanya kazi kubwa na wanaoendelea kueneza Misingi ya Karate Tanzania

Kuna watu wanachangia hata hawajui mada inahususu nini.
Kwenye hoja/
O Sensei Jango
O Sensei Ngonyani.
Sensei Beka
Sensei Taifa.
 
Sensei Geoffrey Kalonga
19575002_635454529981587_1762797559617131225_o.jpg

Pic courtesy Morogoro Shotokan 💪
Also Sensei Mwalimu Sitta salute
 
huu mchezo nikajitia kiherehere kwenda kujifunza..

eebaanaee nilipigwa teke moja LA round kick..kwenye USO, shavuni upande wa sikio,usawa wa shingo;hata sijui litokea wapi..!?

nilisikia kwa mbaliii napewa polee, poleee...huku najivunga kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
kama hivi au??

FB_IMG_15834858327678966.jpeg
FB_IMG_15834858454277707.jpeg
FB_IMG_15834858505420320.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya mazoezi saaana halafu ndani ya miaka kumi unagombana mara moja tu!

Ya nini kuumiza misuli yangu.
acha kufikiri kijinga, nani alikwambia body fitness ni kwa ajili ya kugombana?.
 
Back
Top Bottom