Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliingia anga za tajiri flani akamuuzia vx ya uwizi,naskia hanaga mtoto sasa hizo dhuluma anapeleka wapiDah,jamaa bishara zake zote uzushi lazima..
Kuna moja alikamatwa dar na kupelekwa chuga kesi ya gari pia
Sema dhuluma mwisho wake mmbaya...naona sahv Ana dunk dunk tu...
Ova
Sasa hivi ni eric mandala anatajwa kuliko rubbleKuna pedeshee mmoja wa Congo Brazaville Fred Nelson wale jamaa wa G7 walimtungia wimbo
jamaa amekaza fuvu kwa kitu kilicho waziAcha ubishi mzee mwenyeji wa Arusha wote hakuna asie mjua Hidaya tena alikua maarufu kwa jina la Hidaya Wa pepe kale kafariki mwaka jana , Hidaya ni miongon mwa wanawake matajiri wa Arusha enzi hizo, ameishi pia france ninavyo kueleza kafariki mwaka jana elewa hivyo
Alafu mi nazungumzia wimbo wa pepe kale Hidaya hiyo ya kwako ya Hedaya mimi siijui
saidi commorie alikuwa ni producer wa mziki.Kuna kina Said Komolie sijui alikuwa nani huyu
HahaAliingia anga za tajiri flani akamuuzia vx ya uwizi,naskia hanaga mtoto sasa hizo dhuluma anapeleka wapi
Fikiri Madinda Mimi ndiyo Boss wake hapa Kilimo na Ushirika Dodoma. Ni Dereva wa Wizara ya Kilimo na Ushirika, hataki kabisa umuite Papaaa Fikiri Madinda NI swahiba mkubwa Sana na RC wa DSM wa Sasa hivi1.Fikiri Madinda
2.Pedeshee Mudi Nondo
3.Moris Mariaga
Hapa pedeshee kidogo ni #3,hao 1&2 walikua ni janja janja tu,tuliowahi kuishi nao Sinza_Madukani tunawajua vizuri
Huyo Mudi Nondo BSS aliyoshinda Jumanne Iddi,nafikiri ilikua ndio BSS ya kwanza,siku ya Fainali aligawa pesa hatari,cha kushangaza nyumba aliyopanga ilikatiwa umeme kwa kushinda kulipa bili kwa wakati(enzi hizo hakuna LUKU) [emoji38][emoji38][emoji38]
Fikiri Madinda aliishi kwenye upangaji na nyumba ya kawaida mno tofauti na jina alilokuwa nalo mjini.
Naomba picha yakeHidaya kafariki mwaka jana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Fikiri Madinda Mimi ndiyo Boss wake hapa Kilimo na Ushirika Dodoma. Ni Dereva wa Wizara ya Kilimo na Ushirika, hataki kabisa umuite Papaaa Fikiri Madinda NI swahiba mkubwa Sana na RC wa DSM wa Sasa hivi
Huyu ni mtayarishaji wa muzik kama sijakoseaKuna kina Said Komolie sijui alikuwa nani huyu
Enzi Hizo Mwenyekiti wa Chama alikuwa na Nani?Jack Pemba naye alikuwemo , Kwa kadri ya kumbukumbu zangu Pedeshee Amos Makalla alipiga sana hela alipokuwa Mweka hazina wa ccm Makao Makuu
umetisha sana[emoji123]wewe mwenyewe kwanza ujengewe sanamu kuchambua vema hizi mambo[emoji120]mziki wa dansi ulikuwa na mambo matatu
kwanza kulikuwa na mapedeshee hawa watuzaji
ndio hao aliowataja mtoa mada
halafu kulikuwa na mashabiki damu
kama hapo unemtaja
MAMA MINGOI CHESCO MAZEE WA MATUNDA kuna pia Kina MANKA MUSHI
ambao ndo waliikuwa navijiwe vyao au CAMP zao
karanga camp
HOME ALONE
VINGUNGUTI TIMBERLAND
DALADALA CAMP
SWAZI INTER
n CAMP nyingine nyingi sana
ambazo hizo CAMP zina mashabiki haswa na mapedeshee wajanjawajanja ndo zilikiwa maskani zao na watoto wa mjini na wakati mwingine hata wanamuziki wenyewe pia huweka vijiwe katika hizo CAMP
hizo CAMP kulikuwa na mashabiki WAZARENDO
nakumbuka kuna SHABIKI MMOJA wa VINGUNGUTI TIMBERLAND huyo Mdau alikuwa anaipenda sana TWANGA kiasi alikuwa mpk anapanda NDEGE kuifuata TWANGA ikiwa NJE ya MKOA haswa ARUSHA au MWANZA
halafu kundi Jingine sasa ni la wanaofanikisha BENDI kuwa na Mziki bora
mfano HUSSEIN MIUNDOMBINU
huyu alikuwa fundi mitambo(umeme)
Twanga popote itakapopiga huyu alikuwa anahakikisha mambo yote ya umeme yako sawa mziki unatoka vizuri
THABITI MTOTO ILALA huyu alikuwa mkali wa kucheza na Keyboad
lakini pia kulikuwa na mkali mwingine wa KEYBOAD
ukisikia PROFESHENARI TARIBONARI VIctor mkambi huyu mkali wa KEYBOAD hata kama akifa inapaswa TWANGA wamjengee Sanamu lake maana alikuwa PROFESHENO haswa kaipaisha sana twanaga na UFUNDI wake wa KEYBOAD
Ukisikia MCD basi hapo anatajwa SUDI MOHAMED TIMBO(marehemu)
huyu alikuwa mpiga tumba matata sana
halafu ukisikia SHAKASHAKA SHAKUZURU hapa alikuwa anapaishwa MIRAJI SHAKASHIA huyu ni mpiga gitaa matata sana
halafu kulikuwa kulikuwa na mkung'uta DRUM hatari sana BABA DIANA BABAA SHARIFA BABAA ZAITUNI basi alikuuwa anatwaja ABUU SEMHANDO mpiga DRUM hatari
sasa utakuj kugundua kulikuwa na makundi matatu yalikuwa yanatwaja sana kwenye nyimbo
wngine walikuwa mashabiki damu wengine ndi hao watu wa wanamuziki wenyewe
ile pisi Yasmine nikajua kaja na Fali Ipupa kutoka huko kwao kumbe ni wa hapa bongo?Pisi kali kuna yule aliyeimbwa sana na Fali Ipupa alipokuja Dar kwa mara ya kwanza Yasmine
Mzee Janguo baada ya kutoka Bandari alikuwa mbunge wa Kisarawe.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
hawa jamaa akina iddi janguo baba yao alishawahi kuwa mbunge wa kibaha?.
Papaa Davis Mwangaba alikuwa cha mtoto Kaka ake aliitwa Enock Mwangaba, huyu Mzee ndiyo mmiliki wa Spice Hotel iliyopo Adjacent na Ofisi za CCM LUMUMBA, huyu Mzee alipata tenda ya ku-supply beer za TBL Enzi Hizo akiwa ni transporter wa malori Aina ya Fiat-Mbaula Sasa hivi anaishi white house, anayo pesa bado..!Nadhani hizi FM station kidogo zilishindwa ku promote muziki wa dance.
Mussa mzee wa korosho huyu ndio babake na Jux mwimbaji. Huyu maarehemu
Dr Ayoub siki hizi nadhani ni Profesa Ayoub wa magonjwa ya akili
Pedeshee Ndama Mtoto wa Ngombe aka Akayesu huyu bado tajiri sana
Papa musofe chuma cha reli mbongo wa kwanza mjanja kuvaa pure gold nyingi mkimya kwa haiba lakini ana akili za kimafia za hela hatari. Huyu kuna sehemu akifika na gari hashuki hapendi macho ya watu sana.
Papa Davis Mwangaba mzee wa Temeke huyu alikuwa anatembea na millioni kadhaa kwemye buti la gari. Kaka yake ndio mwenye mbumba ya hatari mzee Mwangaba tajiri wa Temeke
Papa Muddy mas mzungu wa roho kawasafirisha washikaji kibao kwenda ulaya waliokuwa wana hustle town na hawakuwa na uwezo wa safari kwenda kujilipua ulaya
Wazee wa TCC kuna mwamba mmoja walikuwa wanamuita Abrahamovich naye alikuwa na mbumba za kusumbua kiumeni TMK area.
Nasikiliza Maria nyimbo ya Fali Ipupa sasa hivi mwisho naskia anamtaja Erick Mandala.Sasa hivi ni eric mandala anatajwa kuliko rubble
Andrew Sekidea mama yake alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Ubungo NHC huyu mwamba ndiyo nguzo ya Twanga Pepeta Enzi Hizo, alikuwa ni hatari sanaNje ya mada kidogo kulikuwa na mpiga kinanda maarufu sana anatajwa sana kuanzia miziki ya dansi mpaka taarabu. Huyu si mwingine bali ni Thabit mtoto wa Ilala
Kwelihttps://www.boomplaymusic.com/share/music/9189140?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
https://www.boomplaymusic.com/share/music/9189184?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
kama kuna mtu ame install app ya boomplay kwenye simu yake, naomba asikilize hizo nyimbo mbili za fm academia, asikie mapendeshee wanavyotajwa humo. itasaidia kufresh kumbukumbu za zamani.
Umekaririshwa ujinga na machawa wenzako, subiri thread ya machawa itakufaa ukutane na wenzako Baba Revo na MwijakuSiku hizo wote hamna kitu wanjifungia ndani Kama wazazi wanaona hata aibu kutoka nje.
Kitu konde boy,chibi dangote nk