Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Hao mapacha mmoja alishafariki na walikuwa na pesa kwelikweli,huyu mdogo wao alikuwa mjinga mjinga tu lakini nae akaja kuwa mjanja akapata pesa nyingi za utapeli, kwa siku hizi sijui kaishia wapi, matapeli wengi walisjamili enzi za Born town,lakini alipoingia Jiwe wengi wao waliishia lupango ma dili za bandarini au madini zikaisha
Sikujua kuwa pacha mmoja alishatutoka! Maskini
 
sunda alivuma sana pande za arusha na mikoa ya jirani. alikuwa na pesa za kutosha, nadhani mpaka sasa bado yupo vizuri kiuchumi.wenyeji wa A-Town watatujuza.

ila hakuwa mtu wa kujimix na wanamuziki wa dansi, ndio maana jina lake lilikuwa halitajwi kwenye nyimbo.
Nakumbuka mr Nice alimtaja sana kwenye nyimbo zake
 
nani anamkumbuka pedeshee ali aurora?. maisha ya huyu jamaa yalitawaliwa na visa vingi vya utapeli na dhuruma.

halafu akaja kufariki kwa maradhi yaliyomtesa sana. inadaiwa aliowadhurumu walimpiga "msumali".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaujua ule wimbo
Nimepoteza kipenzi changu hapa tanzaniaaa[emoji445]
Nimepoteza mkanda wa kiuono[emoji445]
Nitarudii kwa Hidayaa[emoji445] hidayaaa hidayaaa[emoji445]

Unaambiwa Hidaya alikua ni mrembo vibaya sana enzi za uhai wake akiwa kijana
Hapo ndani ya Chuga hapo
 
tulisema huu uzi sio wa watoto wa 2000 tueleweke

KABASELE YAMPANYA aliahidi kuitungia NYIMBO YANGA akirudi CONGO
sasa kipindi anazungumza hayo maneno wewe ulikuwa na miaka mingapi
Hahaha. Mimi nilikuwa miongoni mwa waliojipanga barabara ya City Drive kuuaga mwili wa kiongozi mmoja maarufu Sana Tanzania. Mwaka 1999 Rais Mkapa akitangaza kifo cha Mwalimu, mimi nipo kikaoni napiga per diem. Matukio haya mawili yanatosha kwa wewe kukadiria mimi wa miaka gani.
 
Kilivyoingia chuma pale Ikulu ndio ikawa mwisho wa hao watu. Huku ikisemekana walijipatia ukwasi nje ya mstari sahihi.

na ndio ikawa mwisho wa mziki wa dance hapa nchini hadi sasa. Maana walitegemea udhamini wa hao watu.
Kilichoua mziki wa dansi ni bongo fleva
 
Ndiye aliwafunga wale jamaa wa fm akademia walivyoachiwa wakatoa ile nyimbo ya wajelajela? Jela jela ni mbaaya
Kuna siku tuko new msasani club
Kwenye buzuki,wakongi kubao
Ali kileo alilileta karandinga
Pale ebwana watu walitafutana mule
Wakongo walitoka mbiooo
Alikuwa anajua kutengeneza mazingira,sema alikuja zinguaga wakamtupa kusini huko ndy kupotea
[emoji1]
Mara ya mwisho nlionana naye mtwara....muda sana nlikuwa naekea msumbj(sidadi)akawa anasema nyie watoto wa kjnondoni janjajanja sana
Mazabe tu,hatukutaka kuuweka sana kwake aside akatugeuza dili [emoji1]

Ova
 
Back
Top Bottom