Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Nyoshi mselela
Hussein makabureta
Yussufu mbwana
Badi bakule
JONA MVAMBA(shabiki wa twaga pepeta)
Hadija mnoga kimobitel
 
jamaa amekaza fuvu kwa kitu kilicho wazi
 
Kuna kina Said Komolie sijui alikuwa nani huyu
saidi commorie alikuwa ni producer wa mziki.
kiasili jamaa kwao ni visiwa vya commoro.

kwa miaka ile, jamaa alikuwa ni mmoja wa maproducer wakali sana. studio yake ilikuwa inaitwa big town production, ofisi zilikuwa kananga street, mitaa ya kinondoni morroco.

kwa sasa anaishi ufaransa. kuna story inahusishwa na kuondoka kwake nchini, maana jamaa aliondoka ghafla sana kama kama mkimbizi.

wapo wanaodai jamaa alikuwa anatoka kimapenzi na mke wa kigogo mmoja wa wakati ule.

yule kigogo akamtishia kumfanya jambo baya sana ila akampa muda mfupi awe ameondoka nchini la sivyo atakumbana na hatari. jamaa akaondoka nchini kimyakimya bila kupenda na mpaka leo hajakanyaga tena.
 
Aliingia anga za tajiri flani akamuuzia vx ya uwizi,naskia hanaga mtoto sasa hizo dhuluma anapeleka wapi
Haha

Mke wake wa kipindi hicho alimpigania sana

Vp wakina halil hawajakuzingua kwenye magari

Ova
 
Fikiri Madinda Mimi ndiyo Boss wake hapa Kilimo na Ushirika Dodoma. Ni Dereva wa Wizara ya Kilimo na Ushirika, hataki kabisa umuite Papaaa Fikiri Madinda NI swahiba mkubwa Sana na RC wa DSM wa Sasa hivi
 
Fikiri Madinda Mimi ndiyo Boss wake hapa Kilimo na Ushirika Dodoma. Ni Dereva wa Wizara ya Kilimo na Ushirika, hataki kabisa umuite Papaaa Fikiri Madinda NI swahiba mkubwa Sana na RC wa DSM wa Sasa hivi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
umetisha sana[emoji123]wewe mwenyewe kwanza ujengewe sanamu kuchambua vema hizi mambo[emoji120]
 
Papaa Davis Mwangaba alikuwa cha mtoto Kaka ake aliitwa Enock Mwangaba, huyu Mzee ndiyo mmiliki wa Spice Hotel iliyopo Adjacent na Ofisi za CCM LUMUMBA, huyu Mzee alipata tenda ya ku-supply beer za TBL Enzi Hizo akiwa ni transporter wa malori Aina ya Fiat-Mbaula Sasa hivi anaishi white house, anayo pesa bado..!
 
Nje ya mada kidogo kulikuwa na mpiga kinanda maarufu sana anatajwa sana kuanzia miziki ya dansi mpaka taarabu. Huyu si mwingine bali ni Thabit mtoto wa Ilala
Andrew Sekidea mama yake alikuwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Ubungo NHC huyu mwamba ndiyo nguzo ya Twanga Pepeta Enzi Hizo, alikuwa ni hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…