Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Omary Bongo Ondimba =baba.Ally Benny Bongo=mtoto
 
Niseme Tu Mleta mada na wachangiaji wengine mmenipa elimu [emoji1]
 
Hatari sana, sasa hivi hawana kitu hao wote...

Tumebakia sisi tu...
 
Umenikumbusha mbali sana,huyo profesheneri keyboard mwanaSumbawanga,duuh! sijui ni mtu wa huko,na huyo MCD chapa ngoma halafu kanasikika kasauti kangoma,daaah! aisee,kitambo sana.
 
nimekusima vema mkuu
 
Umenikumbusha meddy kitendawili kwenye nyimbo ya jirani ya twanga pepeta
 
nani anamkumbuka pedeshee ali aurora?. maisha ya huyu jamaa yalitawaliwa na visa vingi vya utapeli na dhuruma.

halafu akaja kufariki kwa maradhi yaliyomtesa sana. inadaiwa aliowadhurumu walimpiga "msumali".
Aurora muzee ya Tanga
 
Hemed Bakayokoo Le boss hatari sana huyu mtu.
 
Itakusaidia nini?
Huu Uzi utasaidia sana kutoa elimu kwa Rika mbali mbali kuhusu matumizi sahihi ya pesa. Tukiangalia huko nyuma Kuna watu walikuwa na hela Leo hata Mia hawana, na tunaweza pia pata mbinu za namna gani ya kupata pesa kupitia hao mapedeshee kwa shughuli walizokuwa wakifanya, pia kupata changel na maujanja ya mujini. Kwa mtazamo wangu huu Uzi no Kama SoMo tu la histora shuleni, Ila hapa umebezi na historian ya mapedeshee
 
Hassan miundombinu kaa sikosei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…